Kitu kitu unique 🐥🐥🐥I can't imagine, tukirudi hata ngozi zitakua zimetaka 😍😃
Hapo kwenye kuroast, that's my fav you know😛
Uhali gani kijanaKitu kitu unique 🐥🐥🐥
MamboMdogo wangu huo mbadala wa emoj ndo umeharibu kabisaaaaaa
Huyo Pundamilia ashuke chini tuone sura ya kinyaki
Ila ahsante kwa nywele![]()
Mungu mwema na nina furahi kusikia familia ipo safi, namahukuru Mungu na nina furahi kwa ajiri yako na familia, hakika Mungu nipendo , apenda watu 🔥🔥Ewaaaaa..ni bukheri wa afya kabisa Mimi na familia yangu!
Mungu mwema, Mie mzima.. na kila kitu kinaenda vyema 😀😀 Hamjambo nyieUhali gani kijana
Mungu mwema na nina furahi kusikia familia ipo safi, namahukuru Mungu na nina furahi kwa ajiri yako na familia, hakika Mungu nipendo , apenda watu 🔥🔥
Huku kwema piaMungu mwema, Mie mzima.. na kila kitu kinaenda vyema 😀😀 Hamjambo nyie
Wazee wa kuroast 🤣🤣🤣I can't imagine, tukirudi hata ngozi zitakua zimetaka 😍😃
Hapo kwenye kuroast, that's my fav you know😛
This time tutaroast nyama pori😂😂Wazee wa kuroast 🤣🤣🤣
Wee poleeeh km limeanza.




Nitag shouzzz.Poa shos ngoja nikutag!!
Pole sana mpendwaKweli mimi nakili ya kwamba nimeathurika, mbio zipo ukikongoni duniani nataabika 🥹🥹🥹
Msinitengee ndugu, msinitenge rafiki zangu,
siku ikifika ikibidi mnizike kwenye makazi mapya nipeleke nipumzike🥹🥹🥹View attachment 2230462
Tayari nushakutag angalia notificationNitag shouzzz.
Ni ndugu, kaka yangu, na wapendwa katika Kristo. Maisha yana history.. Kitu kizuri Mungu alituita kabla ya kuwekwa misingi ya dunia ( Mungu analinda kusudi lake ndani yetu kwa kuachia neema na rehema ) Mungu anaangalia mbele yetu na sio nyuma ( mapito yetu ) yeye Mungu nitangazaye mwisho tangu mwanzo, na tangu zamani za kale mambo yasiyotendeka bado; nikisema, Shauri langu litasimama, nami nitatenda mapenzi yangu yote.Baba Mchungaji. Asante sana kwa sala hii yenye nguvu na upako. Nimeguswa sana!
Hakuna zawadi ya thamani zaidi ya maombi na hakuna njia bora ya kumjali mtu zaidi ya kumuombea. Hebu yote uliyoyaomba juu ya maisha yangu na yakapate kibali mbele ya Mungu wetu Aliye mkuu. Mungu huyu mwema Amenivusha katika vita vikali vya kiroho na kimwili na naamini kuwa ana makusudi mema na maisha yangu. Na bahati nzuri najua ninachotakiwa kufanya na naamini kitatimia. Ndiyo maana niko hai!
Wewe ni mdogo wangu kiumri na nakuhesabu kama ndugu. Mungu Atupe uzima na naamini siku moja tutaonana na kusali pamoja. Barikiwa sana Mtumishi...
Maombi yametolewa na kama manukato na marhamu ya thamani sana yamepanda na kufika mbele ya kiti cha enzi; na yamepokelewa. Shetani ameshindwa na ushindi umeshapatikana tayari.
Tubaki katika rehema na kumbato lake nasi daima tutabakia salama kwa sababu Alishaahidi kuwa hatatuacha. Tutubu madhambi yetu. Tupendane. Tusameheane na tuonyeshe upendo na tumaini lake kuu kwa wengine...
Asante sana Baba Mchungaji
View attachment 2230138
Usinitengee basi 🥹🥹🥹 nikune hata kwa mti, ili upate thawabuPole sana mpendwa
Mbna sioni huku kwa notifiez lol.Tayari nushakutag angalia notification
Mlenda sawa ila ugali hapana 😎😎😎 Mlenda naweza nikamaliza sufuria ila usilete story za ugaliHuku kwema pia
Karibu ugali na mlenda