Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😀😀😀 eeeh ndio maana pazuri watu tunajaaaa asubuhi inakuta na supu ya utumbo wa kukuu na miguu yake yaani hiii .. jioni nakuwekea kabisa siti yako mapemaaa maana mie ndio naenda hapo sasa hivi nimeisha maliza kupiga debe
Pale ukiwa mteja wao wanakuwekea siti yako spesho ndio nachowapendea.

Utakaa had saa ngapi?
Me jioni ndio nitakuja hapo kula chapati na maharage + ile chai yao wanawekaga viungo inanukia adi sio poa😋😋
 
Upendo ndio kila kitu na tusipende kutamkia wenzetu wenye changamoto maneno mabaya hatujui yatawaathiri kiasi gani.

Same kwa hao wagonjwa, kama wewe ni mzima basi usiwatenge, uwatendee yaliyo mema since hamna aliyependa kuumwa
Ukimwi ( jina la ukimwi ) limebeba fear, na hofu inaondolewa na upendo tu. Kukiwa na upendo kuanzia jamii na waathirika ( ukimwi unapoteza nguvu ) Ukimwi umejawa na roho ya hofu na roho ya hofu imeambana na roho ya mauti, njia pekee kushinda hivi ni Love and Forgiveness.. Pia waathirika wanakwama kwa kuto samehe, kutokusaheme kunazaa uchungu, na uchungu ni malngo wa hofu na hofu hufungua mauti na nguvu zake kwa mtu.. But mtu akijengewa msingi akaseheme akaishi kwa upendo na kaishi na wanao mpenda haina shida 🥹🥹
 
Pale ukiwa mteja wao wanakuwekea siti yako spesho ndio nachowapendea.

Utakaa had saa ngapi?
Me jioni ndio nitakuja hapo kula chapati na maharage + ile chai yao wanawekaga viungo inanukia adi sio poa😋😋
😅😅😅 haaa mie hapa nakaa hadi wafunge si unajua sina pa kuishi labda na leo nije kwako

nitajibanza korindoni kama sebuleni hapafai
 
Ni mtihani kwasababu jamii bado ina angalia kwamba mtu kaupata kwasababu alikuwa mzinzi au muasherati, ingawa kwa asilimia kubwa maambukizi husambaa kwa njia hiyo. Ila pia jamii inakosa upendo na kufanya muhanga kuanza kuathirika kisaikolojia na kufanya umauti au afya yake inyong'onyee kwa haraka sanaaa. Tunahitaji Elimu, Tunahitaji upendo, Tunahitaji ukalimu tuna Muhitaji Mungu sana na zaidi, Tunahitaji hofu ya Mungu.
Ukitulia unaandika 😍
 
Ukimwi ( jina la ukimwi ) limebeba fear, na hofu inaondolewa na upendo tu. Kukiwa na upendo kuanzia jamii na waathirika ( ukimwi unapoteza nguvu ) Ukimwi umejawa na roho ya hofu na roho ya hofu imeambana na roho ya mauti, njia pekee kushinda hivi ni Love and Forgiveness.. Pia waathirika wanakwama kwa kuto samehe, kutokusaheme kunazaa uchungu, na uchungu ni malngo wa hofu na hofu hufungua mauti na nguvu zake kwa mtu.. But mtu akijengewa msingi akaseheme akaishi kwa upendo na kaishi na wanao mpenda haina shida 🥹🥹
Jina linaogopesha sababu ya mentality iliyojengeka kwa fikra zetu.
 
View attachment 2230509
Video zake huwa zinavunja mbavu zangu😂😂😂
😅😅😅😅
99CF95E5-16BD-44FB-8FAB-75A989AAEDFA.png
 
Jina linaogopesha sababu ya mentality iliyojengeka kwa fikra zetu.
Hapana kuna Mystery juu ya kila jina, jina la kitu limebaba personality.. kwanini aitwe Mungu ( ndani ya jina la Mungu kuna personality) .. Kuna jina ukisia unapata amani kuna jina ukisia linatisha .. kitu kilicho nyuma ya lile jina sio kizuri na ndivyo ulivyo ukimwi.. but because hatuna imani sawa na uchanga wa kiroho tuachie hapaa but kuna deep deep mysteries ya majina .. siku tukienda zetu moro kupumzika nitakufundishaaa 😅😅😅
 
Hapana kuna Mystery juu ya kila jina, jina la kitu limebaba personality.. kwanini aitwe Mungu ( ndani ya jina la Mungu kuna personality) .. Kuna jina ukisia unapata amani kuna jina ukisia linatisha .. kitu kilicho nyuma ya lile jina sio kizuri na ndivyo ulivyo ukimwi.. but because hatuna imani sawa na uchanga wa kiroho tuachie hapaa but kuna deep deep mysteries ya majina .. siku tukienda zetu moro kupumzika nitakufundishaaa 😅😅😅
Wee tukienda huko staki story za kutisha, mood itakata🤣🤣

Huko ni kula na kufurahi
 
Back
Top Bottom