Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,222
- 50,170
🤣🤣🤣🤣🤣 nilikuitepo ili ukujeSijakwambia ukaniitepo 🤣🤣 angalia huko juu kuna pic utaona..
Af niliangalia sijaona, ngoja nikachek tena
🤣🤣🤣🤣🤣 nilikuitepo ili ukujeSijakwambia ukaniitepo 🤣🤣 angalia huko juu kuna pic utaona..
Amen.Tuombe uzima Baba Mchungaji. Mengine yote ni madogo...
Tusimame katika haki; na tuombe Mungu wetu Asituache. Tusaidie wenzetu wenye shida tunapoweza. Tuombe msamaha tukikosa (haijalishi kama tutasamehewa ama la!) na siku yetu ikifika tuondoke kwa amani
Ungali mdogo sana lakini kwa muda mfupi niliokufahamu hapa you are going places - not only materially but also spiritually. The devil will throw every type of weapons at you lakini kwa Neema za Mungu utamshinda na kufikia destiny yako.
Barikiwa sana Baba Mchungaji![]()
Hahaha , kwa nini ?Mungu wangu.
Zile ndio sitarajii kabisa kuja kusuka
Sijui hata huwa nazionaje.
Jizazi!Njoo mwaya hapa lazima utoboe
Hadi nude lipstick tunajisiliba tu mbele kwa mbeleView attachment 2227266
ChuchungeHeee
Hivi ni kengeza langu limeona vibaya avatar?
Yeah hizo nzuri , haziumi kabisaMimi huwa nasuka zile za kusuka kuanzia chini, huwa haziniumi


Amen!Amen.
Ni neno zito sana kwangu la baraka sijalichulia kiwepesi. ( Kuna hali imekaa sawa ndani yangu kwa hili neno )
Nilifundishwa na mwalimu wangu mmoja, umuhimu wa maombi na baraka kwa mtu yoyote alie kutangulia anapiziachia kwa namna yoyote ile.m, ikiwa unataka maisha marefu , mafanikio ya mwili nk, For me hili ni neno la kibanii kwangu na ulichosema naamini umeandika prophetically![]()
Sina la kuongea , ila kila ulichoa andika kitatokea..
So will My word be which goes out of My mouth;
It will not return to Me void (useless, without result),
Without accomplishing what I desire,
And without succeeding in the matterfor which I sent it.
Amen






Hahaha zisuke bana, mbona zinapendeza tuYeah hizo nzuri , haziumi kabisa
Nilisukaga hizo kuna mtu ananiambia sijapendeza so ninasukaga hizi tu![]()
Ukikaa barabarani gari nyingi ni 40million kushuka chini ndio zimejaa hapa Tanzania. Na wengi wanachukua Auction grade 3.5 , 4 wachache na kushuka chini, zilizo 4.5 na 5 kipengele kwa wengi bei unakuta zimesimama.. Na wengi wananunua magari ila uwezo wa kuyatunza bado hata hizi hizi za 15 millions bado zinasumbua watu kuzitunzaHapo lazima upige nduruu gari bovu, utamu wa RR iwe within warranty kitu ambacho bongo ni rare sana.
Amen jirani PastaAmen.
Ni neno zito sana kwangu la baraka sijalichulia kiwepesi. ( Kuna hali imekaa sawa ndani yangu kwa hili neno )
Nilifundishwa na mwalimu wangu mmoja, umuhimu wa maombi na baraka kwa mtu yoyote alie kutangulia anapiziachia kwa namna yoyote ile.m, ikiwa unataka maisha marefu , mafanikio ya mwili nk, For me hili ni neno la kibanii kwangu na ulichosema naamini umeandika prophetically 🙏🙏🙏🙏🙏
Sina la kuongea , ila kila ulichoa andika kitatokea..
So will My word be which goes out of My mouth;
It will not return to Me void (useless, without result),
Without accomplishing what I desire,
And without succeeding in the matterfor which I sent it.
🙏🙏🙏 Amen
Nishastaafu Mama Mchungaji. Nimebakia kutoa ushauri tu kwa hawa vijana. Miaka 76 hii na ma Yutong unataka nife kabla ya siku zangu? Sasa hivi nina kakimbaumbau kangu ka kuzeekea sina shida na mtu mimiYatakushinda na mayutong yako![]()



Yan acha tu dadaangu alipumzishwa hospitali alienda anahoma dokta akampa kitanda apumzikeOoh wengi wanafumua
Maana si kwa maumivu yale .. sema tunakaza tu wengine .
kupima hmna homa dokta akjiongeza akimuanglia kichwan kichwa kimewamba akachukua mkasi akakata kata nywele
akamwambia aya pumzika kidogo tutaendelea na vipimo 
alivoruhusiwa akakta na nywele kabisa zilizobaki Uzi uheshimiwe😂😂😂😂😂😂😂 njoo tuchatie hapa, kule unaniumiza mbavu 😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 nilikuitepo ili ukuje
Af niliangalia sijaona, ngoja nikachek tena
Jizazi!
Huyu mpwa wangu naye sijui boya. Badala achangamke eti anasema oooh anko niko bize kishenzi. Kishenzi mai futi!



Wewe na kimbaumbau???? Basi lazima kana takoNishastaafu Mama Mchungaji. Nimebakia kutoa ushauri tu kwa hawa vijana. Miaka 76 hii na ma Yutong unataka nife kabla ya siku zangu? Sasa hivi nina kakimbaumbau kangu ka kuzeekea sina shida na mtu mimi![]()
Ahh nitajaribu sikuHahaha zisuke bana, mbona zinapendeza tu


Hakuna jipya chini ya juaUsije watu wakasimulia kifo chako kwenye mapaja ya watu![]()
Nilikuwa nakutafutia na vipicha, sijui hata nimeziweka wapi. Badili fundi tofauti na yule aliyekusuka awaliAhh nitajaribu siku
Yaani navyosikiliza comment za watu sasa![]()