Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,222
- 50,170
Haya nacheki😂Angalia wasap yako 😂😂😂😂 vizuri
Haya nacheki😂Angalia wasap yako 😂😂😂😂 vizuri
Uzi sawa ..napenda Uzi.Suka vile vya kusuka kuanzia chini sio za kusokota. Au sukia Uzi, nao unakuza nywele

UKO VIZURI 🙌🏾🙌🏾🙌🏾Dah
Nimechanganya,
Nilitaka kusema umeweka mabawa??
Ila hilo gauni zuri na kapose ulikoweka aisee mpiga picha alikupatia.
Ndiyo picha yangu Bora ya muda wote..nimeitunza hadi Leo.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
😅😅😅 Unanunua gari zaidi ya 400 millions, alafu ufanye service za magumashi dishi litakuwa limeyumba, nawajua watu kadhaa wana hizo V8 namba A kama mpyaa na mwingine ndio anaendaga nalo kabisa site na juzi juzi amechukua SVR .. issue ya watu kulia lia wanachukua hizi gari mikononi na hujui mtumiaji wa awali alikuwa na matumizi gani, pia hata wanapochukua hizi gari kama used wanashindwa kuchukua zile za mnada wa wa 5 na 4.5 point wanachukua zile cheap sana hapo ndio baraa linaanzaHizi gari kwenye engine oil maintenance inapaswa umakini, weka oil quality na kiasi kinachopaswa na kwa wakati, kukaa muda mrefu ni shida sana, mfano RR sport V8 inakufa turbo mapema kama unafanya wrong engine oil maintenence, sasa cost yake kutengeneza ndio utapenda, kwa maana turbo ya RR unatoa body yote(kwa experience niliyonayo na model nilitumia), thats why wanapiga kelele sio reliable.
Ni gari zuri sana mkuu kikubwa utunzaji.
Halafu ile homuweki hukumaliza mjomba.
Ile ya kutawanya.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app



Hili gauni aliyetengeneza ana nafasi yake special MbinguniUKO VIZURI
Mpiga picha nae analipenda sana. Inabidi siku moja tukutane wote kulijadili![]()










Useme tu umeamua kutomalizia homweki
Mpwa niache kwanza, baada ya mpira nitakupa maana, hasa kama tutashinda. Tukifungwa sitaki hata salam yako.

Naona FJ hapo imetulia, mwenzake huyo ni nanii 😅😅😅 acha tuendelee kupiga goti malaika wa pesa wazidi kutuinganisha na watu wenye pesa zetuBaba Mchungaji pulizi niwache!
Nina majirani hapa sijui wanataka kunitoa roho hata sielewi. Alianza huyu wa mkono wa kushoto akavuta jipyaaa jeusi. Wa kulia naye naona kaamua kujibu mapigo kavuta jipyaa jekundu...Yaani mpaka FJ Cruiser yangu naiona kama mkokoteni yaani. Ila Mungu Yupo. Nahitaji sana sala zako Baba Mchungaji ili mibaraka zaidi na zaidi inishukie na mie ili hatimaye niepukane na manyanyaso ya hawa majirani wasio na huruma
View attachment 2227244
Umejitahidi sanaa hapo bado kidogo tuu una bana zooteNatamani hata nizipaishe ,nikute tu nabana🤣
Hicho kitabu achana nacho tuNasubiri game huku nikiendelea kusoma kitabu cha jinsi ya kumwelewa mwanamke. Terrible!

Kubana zote?Umejitahidi sanaa hapo bado kidogo tuu una bana zoote

Ndio zinafutwa sasa then unataka ya mwisho 🤔
Na mimi niangalie watsap yangu?Angalia wasap yako 😂😂😂😂 vizuri
Mwenzake huyu Infiniti...Naona FJ hapo imetulia, mwenzake huyo ni naniiacha tuendelee kupiga goti malaika wa pesa wazidi kutuinganisha na watu wenye pesa zetu
Ooh zinaweza zisiwe kubwa zikawa medium size
Ona kama hii nilisukaga muda fulani ..unakuwa zako mwepesi tu
View attachment 2227252




Lini ukawa mchawiUseme tu umeamua kutomalizia homweki
Hamuwezi mkashinda,hilo lipo wazi
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app

, wewe si umeokokaNa hapo likihaibika anatoka anatangaza RR ni gari mbovu sana, wanatukosea sana.😅😅😅 Unanunua gari zaidi ya 400 millions, alafu ufanye service za magumashi dishi litakuwa limeyumba, nawajua watu kadhaa wana hizo V8 namba A kama mpyaa na mwingine ndio anaendaga nalo kabisa site na juzi juzi amechukua SVR .. issue ya watu kulia lia wanachukua hizi gari mikononi na hujui mtumiaji wa awali alikuwa na matumizi gani, pia hata wanapochukua hizi gari kama used wanashindwa kuchukua zile za mnada wa wa 5 na 4.5 point wanachukua zile cheap sana hapo ndio baraa linaanza
Nifanyie wepesi ya bila emojNdio zinafutwa sasa then unataka ya mwisho![]()
Sijakwambia ukaniitepo 🤣🤣 angalia huko juu kuna pic utaona..Haya nacheki😂