haki ya nani tena,, siwezi jisikia vibaya maana nakuelewa,, sikatai mimi ni muongeaji na ninapenda sana utani ila ni hadi mtu nimzoee sana hauwezi amini kuna ndugu zangu tu hadi leo wanajua mie mpole maana nikienda kwao siongei kabisa,, basi nikisifiwa hivyo kuwa mimi ni mpole dada zangu utasikia wanaguna tu wanasema huyu tunamjua sisi hamna mpole hapa..