Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Tatizo kala mahari kila konanilimuambia mimi siku akitaka kuja aniambie akagoma
Tatizo kala mahari kila konanilimuambia mimi siku akitaka kuja aniambie akagoma
unaona aibu wewe?
Kumbe eeehhh
Mbona Atoto alituma tena eti?? Hukumuomba tu kama alinitumia mimi asingeshindwa kukutumia wewe!!
Sisi wanawake tukibembelezwa na ninyi mbona huwa tunalainika jamani??Au na wewe hauwezagi kubembeleza mwanamke??(Joke)
KabisaaDini zetu mimi Sakayo na DiasporaUSA, najua hamna muislam kati ya hawa wawili hapa.
Sawa kakaNikijiandaa kwenda kufungulia...View attachment 1250497
MmmhhhUsimsingizie diaspora bwana. Mnaolewa vizuri tu.
Naomba unipe hizo emojNiko zangu kwa safariView attachment 1250501View attachment 1250503
Basi uwezo wako wa kubashiri bado unahitaji maboresho makubwa sana kama hapo umeiona 2000 mnyakyusa mwenzangu.Hako kadomo na kakidevu
Hata mimi sikumbuki, ila labda kweli?Morning
Hivi wewe si nakudai saa?!
