Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,450
- 203,041
YaaanUmetamani ingekua wasapu eeh😂
Wee no za mafundi hapana.
Af kwetu mama na akina bibi ni wana miguu balaa nashukuru sijapewa no zao maana ningepata tabu kupata viatu vizuri.
Nikureply na kile kinyau changu kinachomwaga miuno 🤣🤣🤣🤣
Afadhali 😂😂 maana na huu utandawazi ungehaso hatari.


