Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,749
- 109,842
wazee wa kubet
Niko kijiweni na wadau muda huuView attachment 1250704
Niko kijiweni na wadau muda huuView attachment 1250704
Wasiwasi upi tena ?Mmhh nina wasiwasi na hilo darasa
Dah haya mambo nimeyamiss sana
Contena ya wapi? Kibaha au?
Maili moja?
Bahati nzuri hakuna ushahidi kuwa umefuta Mara 2 ulichokiandika hapo awali. Nafurahi kusikia mwanzo wa mapumziko yako ya mwisho wa wiki yameanza na furaha.Nimeandika nikafuta.. Nikaandika tena nikafuta nikaandika tena nikafuta. Nimeamua niache tuu.
Nimefurahi lakini Emery Paper
Jamaaaaaniiiii[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Kwani una wakwe wangapi humu ndani jamani?
Ha ha ha ha ha ha ha ha ah usirudie tena kuniuliza maswali yale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikakumbuka ile ya "nimemmiss mtu, anajijua"
Unakuwa umeua ndege 9 kwa jiwe moja.
Hivi ulifikia wapi kuandaa zile nondo ?Nimeandika nikafuta.. Nikaandika tena nikafuta nikaandika tena nikafuta. Nimeamua niache tuu.
Nimefurahi lakini Emery Paper
Asante sana jamaniUwe na wikiendi njema!!
Nimeisave, hapa nipo kuja kukuomba hilo sweta. Nimeshalijaribisha limenitosha.Bahati nzuri hakuna ushahidi kuwa umefuta Mara 2 ulichokiandika hapo awali. Nafurahi kusikia mwanzo wa mapumziko yako ya mwisho wa wiki yameanza na furaha.