Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikakumbuka ile ya "nimemmiss mtu, anajijua"
Unakuwa umeua ndege 9 kwa jiwe moja.
Ha ha ha ha ha ha ha ha ah usirudie tena kuniuliza maswali yale[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
.
Sijaona ingizo lingine, mnaniangusha jamani.[emoji23]
Screenshot_20191101-105853~2.jpeg
 
Bahati nzuri hakuna ushahidi kuwa umefuta Mara 2 ulichokiandika hapo awali. Nafurahi kusikia mwanzo wa mapumziko yako ya mwisho wa wiki yameanza na furaha.
Nimeisave, hapa nipo kuja kukuomba hilo sweta. Nimeshalijaribisha limenitosha.

Asante sana[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Back
Top Bottom