Weka bwana, nitakunyima binti yangu ujue!!!
Sasa mbona unamwongelea nisiemfahamu?[emoji1745][emoji1745][emoji1745]Wewe tu pekee wewe tu
MmmhhhNimekuonaaa.... Umevaa jekunduuu.. Na nyeusiiiii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi tena jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna vitu nasahihisha hapa nacheka kama mwehu, hadi natamani nikushirikishe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Silike tena.Vipi tena jamani
Nishirikishe hebuuuKuna vitu nasahihisha hapa nacheka kama mwehu, hadi natamani nikushirikishe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamaani auntieSilike tena.
Utaenda valia wapi, maana Kama ni Dar hali ya hewa si unaiona ?Nimeisave, hapa nipo kuja kukuomba hilo sweta. Nimeshalijaribisha limenitosha.
Asante sana[emoji120][emoji120][emoji120]
Jamani [emoji24][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unachezaje mbali wewe wakati unga robo
Utakuwa umeokoa jahazi. Maana tushachoka kuumbuka na uandishi wetu pasipo zile alama.Kamuda kamekuwa finyu kidogo ila ahadi yangu lazima niitimize.
Weka bwana, nitakunyima binti yangu ujue!!!
Sasa mbona unamwongelea nisiemfahamu?[emoji1745][emoji1745][emoji1745]