Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,489
- 203,179
😂😂😂😂 unachezaje mbali wewe wakati unga robo
😂😂😂😂 unachezaje mbali wewe wakati unga robo
Weka bwana, nitakunyima binti yangu ujue!!!
MmmhhhNimekuonaaa.... Umevaa jekunduuu.. Na nyeusiiiii
Vipi tena jamani
Kuna vitu nasahihisha hapa nacheka kama mwehu, hadi natamani nikushirikishe




Silike tena.Vipi tena jamani
Nishirikishe hebuuuKuna vitu nasahihisha hapa nacheka kama mwehu, hadi natamani nikushirikishe![]()
Jamaani auntieSilike tena.
Utaenda valia wapi, maana Kama ni Dar hali ya hewa si unaiona ?Nimeisave, hapa nipo kuja kukuomba hilo sweta. Nimeshalijaribisha limenitosha.
Asante sana![]()
Jamaniunachezaje mbali wewe wakati unga robo

Utakuwa umeokoa jahazi. Maana tushachoka kuumbuka na uandishi wetu pasipo zile alama.Kamuda kamekuwa finyu kidogo ila ahadi yangu lazima niitimize.
Weka bwana, nitakunyima binti yangu ujue!!!
Sasa mbona unamwongelea nisiemfahamu?![]()