Bujibuji akawa gilesi, kanungura karimu akawa kinondoni sweetheart.
Sijui wanatakaga kugundua nini[emoji1745][emoji1745]
Au labda jf ndio mahali wanapoweza kuwa wale wanaotamani kuwa ktk jamii halisi ila wanaogopa jamii itawachukuliaje[emoji134][emoji134]
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kwamba mmehama ukoo mzima?
Ooooh!! Hongera sana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbeya mjini sina ndugu wa karibu mama nilienda kusoma chuo tu sasa nimeshamaliza, ndugu zangu karibu wote wako Dar labda kina bibi na babu ndiyo wako Kyela napo kuenda kuwatembelea ni mara moja moja sana.
Nyete mapka sasa ndio kiungo bora kabisa humu jf[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sana tu.....wewe tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwamba natabirika hivyo!!![emoji134][emoji134]
Ooooh!! Hongera sana.
Usitufanyie hvyoHahahaha basi Msubhate ndiyo mshambuliaji bora kuwahi kutokea humu JF
Yeah ni usafiri mzuri kama hauna haraka, ndiyo usafiri wangu huo sema hata mimi nitaumiss sana maana kurudi tena Mbeya majaliwa.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Kwamba mmehama ukoo mzima?
Mbona picha yako umeziba sana[emoji23][emoji23][emoji23]Usitufanyie hvyo
Utakuwa ushawekwa ndani...sio kwa kauli hii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ndiyo nimewekwa ndani na wazazi
Ukija mjini tutafutane...sisi ndio ma alwatan wenyewe tunajua chaka chaka zote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanadamu hamkawii
Mjini wapi mkuu?
Wanadamu wengine hatuna shida kabisa...
Au unashukia Kilombero huko (Mlimba)?
Tanzania mjini ni Dar es Salaam, huko kwingine kuna itwa mkoani...
Mmhh kuna binadamu wa JF nimewavulia kofia aise