Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,363
- 176,189
Contena ya wapi? Kibaha au?
Wamefanya je tena?
Mimi nipo 'mjini' mbona
Hiyo "wewe tena" ndio nataka kuijua![]()
Contena ya wapi? Kibaha au?
Mambo aliyofanyiwa dada yangu manengelo nani anayataka??
Walimfanyaje?
Unajua JF huwa kuna tumambo tudogo tudogo, sisi wengine huwa hatujui hutu tumambo...
Itolee maelezo.Hahah isikutese, mi ajua tu wewe hivyo
Hahah sasa kwani mi ndio sipendi kusikia nisiyoyajua jamani...Hahahaha hata wewe kakaangu?? Nilisikia eti kuna mtu alisambaza inayodaiwa kuwa ni picha yake!!
Hahah we ipotezee buanaaa....sio issue dearItolee maelezo.
Atasikia, ila sijui kwa sasa anachepukia wapi. Anapenda sana kuchepuka.Msalimie sana mkeo




