Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,750
- 182,848
Jamani jamani[emoji134][emoji134][emoji134]Tena we unyamaze [emoji23][emoji23][emoji23] sijaona hata kidole chako
Jamani jamani[emoji134][emoji134][emoji134]Tena we unyamaze [emoji23][emoji23][emoji23] sijaona hata kidole chako
[emoji126]
Niko nyuma yakoNisindikize zilipo
Nimeandika nikafuta.. Nikaandika tena nikafuta nikaandika tena nikafuta. Nimeamua niache tuu.View attachment 1250270Maana comments zimekuwa nyingi kuliko picha.
[emoji28][emoji28][emoji28]Yan umefanya hadi nimejaribu hapa, akiii miguu inaumaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani hapa auntie sidai tena mahari hadi umzalie watoto 6.
Ada ni ushiriki wako tu.Ada kiasi gani??
Tena we unyamaze [emoji23][emoji23][emoji23] sijaona hata kidole chako
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Moja kwa moja kutoka bush moja linaitwaa IGWACHANYA mkoani Njombe nimekuja siku ya tatu leo,hapa ni mgahawani napata soda na maandazi makuubwa,hahaa so interesting.View attachment 1250670
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mweeeeh!! Kumbe haikuquote[emoji134][emoji134]
Ada ni ushiriki wako tu.
Mtoto mzuri hivyo unaficha sura kwa kutumia ma zombie. Tumekukosea nini lakini[emoji23][emoji23][emoji23]Niko zangu kwa safariView attachment 1250501View attachment 1250503
Nipo Atoto. Sio kwa orodha uliyoniorodheshea jana[emoji23][emoji23][emoji23]Ulipotelea wapi jamani? Mith you.
Mtoto mzuri hivyo unaficha sura kwa kutumia ma zombie. Tumekukosea nini lakini[emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha ha kwa hiyo unataka kusema baba yako sio mzuri?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka hadi nimeanguka chini
Hivi cute b watoto wazuri unawajua lakini?? Mungu anakuona ujue eti!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]niacheni mimi na sura ya dingi yangu
Hmmmm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimecheka hadi nimeanguka chini
Hivi cute b watoto wazuri unawajua lakini?? Mungu anakuona ujue eti!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]niacheni mimi na sura ya dingi yangu
Hebu tulia auntie, wachache hivyo[emoji134][emoji134][emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sita wote jamanii
Ha ha ha ha kwa hiyo unataka kusema baba yako sio mzuri?
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sema wee kiazi nikisema mie mhogo nitaambiwa nina mizizi