Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,363
- 176,189
Niko nyuma yakoNisindikize zilipo
Nimeandika nikafuta.. Nikaandika tena nikafuta nikaandika tena nikafuta. Nimeamua niache tuu.View attachment 1250270Maana comments zimekuwa nyingi kuliko picha.
Yaani hapa auntie sidai tena mahari hadi umzalie watoto 6.







Ada ni ushiriki wako tu.Ada kiasi gani??



sema wee kiazi nikisema mie mhogo nitaambiwa nina mizizi
Tena we unyamazesijaona hata kidole chako
Moja kwa moja kutoka bush moja linaitwaa IGWACHANYA mkoani Njombe nimekuja siku ya tatu leo,hapa ni mgahawani napata soda na maandazi makuubwa,hahaa so interesting.View attachment 1250670




Ada ni ushiriki wako tu.
Mtoto mzuri hivyo unaficha sura kwa kutumia ma zombie. Tumekukosea nini lakiniNiko zangu kwa safariView attachment 1250501View attachment 1250503



Ha ha ha ha kwa hiyo unataka kusema baba yako sio mzuri?
Nimecheka hadi nimeanguka chini
Hivi cute b watoto wazuri unawajua lakini?? Mungu anakuona ujue eti!!niacheni mimi na sura ya dingi yangu



anaanzaje kuwa mzuri sasa?? Mama yangu ndiyo mzuri ila kwa bahati mbaya sijamfanana hata kope!!
Ha ha ha ha kwa hiyo unataka kusema baba yako sio mzuri?
sema wee kiazi nikisema mie mhogo nitaambiwa nina mizizi




