Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mjomba nakuja chap...
😁 Shangazi labda uwahi maji ya kunya nayo yanaelekea kuisha
3E663DBC-C44F-4F2B-A83E-C16D4A915626.jpeg
 
Set ina pazia 3.. ujue ilo.
Na dirishani utaweka in set…
It depends na wewe una dirisha ngapi…

Let say una mbili… ukichukua set 2 ni pazia 6 hizo, sasa next time ukipata hela utarudia kununua the same color of the previous set? Will you? If you’ll we utakuwa mtu wa kwanza nakutana nae… ni impossible bana

Kama ni wale wa kununua kapazia kamoja moja sawa… maybe inaweza kuwa hivyo unataka iwe.
Sio pazia zote zinakua 3 ktk set 1, zipo za 2 pia.

Ndo maana nilikuambia mie kwa mwaka natumia pazia 1, yaan mwaka mzima natumia hizo tyuuh, nikifua hizi naweka zingne km zile zile.

Siwezi toa cream, naweka blue, hapana.


But nwei, tuache hayo dada mzuri. Usichukulie serious.
 
Back
Top Bottom