Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Duh
Utadhani najua sasa rangi [emoji1787]

Wa ushuani hatuna shida na rangi..hata tukiweka za CCM zinakaa tu.
Shida ni vile Vistoo vyenu vinachagua rangi mno na Kuta zenu za rangi mbili kama wa Heaven Sent [emoji1787][emoji2096][emoji2096][emoji2096]
Rangi mbili Kama shule 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣emu tuache.

Ndio maana Lenie amesema tutaja pewa mineno…
 
Bomba dabo halafu dirisha kama zote.
Kudadeq badilisheni tu pazia..Mimi nikibadilisha sana za vyumbani zinaenda sebuleni,za sebuleni vyumbani nishamaliza kazi[emoji2096]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tunamuangalia tu mtoto wa juzi huyu alikuwa anakatika Nyerere square hana hata nusu pazia.
😂😂😂😂😂 square nilikuwa naenda kupaka rangi na kupiga photoshoot za jero jero.

Ila zamani maisha yalikuwa rahisi sana
 
Back
Top Bottom