Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kichwa kimenivimba, ahsante.
Nimegundua wewe ni mtu mstaarabu licha ya yale matani yako uliyokujaga nayo humu watu wakawa wanakuchukulia kama mtoto.

Kule intelligence nimeona uliuliza maswali ambayo nikuwa nayawaza...nikawa naserereka tu mkuu.


Hebu Selfika picha yako kidogo boss wangu tuviringishie vizuri hizi sifa.
 
Nimegundua wewe ni mtu mstaarabu licha ya yale matani yako uliyokujaga nayo humu watu wakawa wanakuchukulia kama mtoto.

Kule intelligence nimeona uliuliza maswali ambayo nikuwa nayawaza...nikawa naserereka tu mkuu.


Hebu Selfika picha yako kidogo boss wangu tuviringishie vizuri hizi sifa.
Dah! kuna watu mnajua kuomba na mna style za kuomba selfie 😂😂

anyway, majaaliwa nitaweka tu mkuu.
 
Dah! kuna watu mnajua kuomba na mna style za kuomba selfie

anyway, majaaliwa nitaweka tu mkuu.

Mkuu hizo sifa hazihusiani na Mimi kuomba selfie.

Imagine nimesubiri muda wote huu nafungua comment yako Kwa pupa nilijua umetupia kitu
Si unajua namna inavyouma eeh??
Na nimekusifia wewe si mbinafsi, tafadhali mkuu fanya namna hapa kabla sijalaza hili fuvu.
 

Mkuu hizo sifa hazihusiani na Mimi kuomba selfie.

Imagine nimesubiri muda wote huu nafungua comment yako Kwa pupa nilijua umetupia kitu
Si unajua namna inavyouma eeh??
Na nimekusifia wewe si mbinafsi, tafadhali mkuu fanya namna hapa kabla sijalaza hili fuvu.
Poa nikiweka nitakutag.
Sema sio leo siku ingine mkuu.
 
Kuna msichana mmoja alinipiga ngumi, sijui ni ngumi ile sijui ni kitu gani, alinipiga usoni miwani ikavunjika, daaahhh, aisee nilikunja ngumi kwanza iliyoshiba, nikaivuta nyuma huku nimemshika nguo kifuani, yaani nilivuta ile ngumi iliishia hewani anaiangalia sikumpiga, huku nikiwa na hasira sana, niliondoka machozi yakinilenga kwa ile hasira.

Kuna wanawake huwa wanajaribu kukufanya uwapige au uwatukane muanze kutukanana na hii inasababishwa na baadhi yao wanatokea kwenye mahusiano ya namna hii, unakuta watu waliokuwa nae au familia anayotokea kuna mambo hayo.

niliondoka hatukuonana kwa siku kama 4, hakuwahi kunitukana wala kujaribu kunipiga, nilimfundisha mapenzi sio ngumi wala kutukanana..

Mkuu we acha tu mahusiano yapo very complicated usizungumzie upande mmoja tu.
Polesana lakini pia ulitumia busara mno kumuacha maana ungempiga ungemuumiza aisee

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Binafs kwa huku nakoishi wapo lkn nisiseme uongo sijawahi chunguza sabbu ni ipi huenda wanawake wakawa ni sabbu

Lkn pia haimfanyi umpige had azimie kunanamna nyingi za kurekebishana..

Mapenz yamekuwa hayana mvuto na kikubwa heshima hakuna kwa pande zote hakuna heshima kwa mwanaume kwa mwanamkewake na mwanamke Hana heshima kwa mwanaume wake

Hakunatena kukosoana kwa adabu hakuna usiri hakuna kusikilizana Wala kubembelezana


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Binafs kwa huku nakoishi wapo lkn nisiseme uongo sijawahi chunguza sabbu ni ipi huenda wanawake wakawa ni sabbu

Lkn pia haimfanyi umpige had azimie kunanamna nyingi za kurekebishana..

Mapenz yamekuwa hayana mvuto na kikubwa heshima hakuna kwa pande zote hakuna heshima kwa mwanaume kwa mwanamkewake na mwanamke Hana heshima kwa mwanaume wake

Hakunatena kukosoana kwa adabu hakuna usiri hakuna kusikilizana Wala kubembelezana


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Shikamoo Aunt sophy27
 
Hapo ni murder case.
Sema huyo mtoto hatonisahau, ni manzi alikuwa na career yake nzuri tu, mahusiano yalikufa tokana na umbali, maisha mzee daahh..

Ni muda mrefu sasa ummepita lakini nilikutana nae mwaka jana, alinishukuru sana kwa jinsi nilivyokuwa nampa care, i wish ningefanya zaidi lakini ndio hivyo, ilikuwa nje ya uwezo wetu.

Naamini ana furaha huko aliko.
Pole sana
 
Marhaba kijanawangu
Kunawanaume hawana sabbu za kupiga mwanamke ni kuonyesha tu ubabe alionao

Nakumbuka miaka ya nyuma nilipigwa kibao
Alikuwa mwanaumewangu wa kwanza nilipenda kufa Yan huniambii kitu tulikuwa na kutokuelewana km mwez hivi

Nikaenda kumuomba tuzungumze yeye anatak kuondoka na ni km saambili hafanyi kazi za usiku huenda anawahi hamna analazimisha kutoka alafu simuyake inaita mno nikachomoa funguo mlangoni nikamwambia nipe dkka tano then mm pia nilikuwa nawah home

Akanipiga kibao aisee sikuongea na ndo tuliachana hapo kumbe ilikuwa jeuri ya kupendwa bhna akajua nitarudi ndo mazima kibao kilivunja penzi
Hadi leo ukimuuliza sabbu ya kunipiga kibao Hana na anajutia mno alikuwa na kadada kanamchanganya mm nilikuwa student upande ule

Ndo ya kwanza na ya mwisho kwenye maishayng alafu sijakutana nao wapigaji jaoo pia kunipiga inataka rohongumu huwez pata sabbu ya kunirushia ngumi


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Good girl,
Selfika basi mkuu
 
Back
Top Bottom