Nimesimama mguu sawa nasubiri code tu hapa
Nimesimama mguu sawa nasubiri code tu hapa
Nimesimama mguu sawa nasubiri code tu hapa
tuliaBahati mnazipiga tekeMimi kwasasa bado kidogo hapa utachelewesha wanao kuanza shule
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Ninasabbu za msingi ambazo nafikir zitanifanya niishi kwa amani nijizirekebisha kabla sijakubali kukaa na mtoto wa mkwe kuhusu kuwa anapumua bado Sana kuandika iyo sirediBahati mnazipiga teke
Halafu mambo yakiwa si mambo
Mnafungua siredi mnataka yoyote
Bora anapumua

Eti bora anapumua.Bahati mnazipiga teke
Halafu mambo yakiwa si mambo
Mnafungua siredi mnataka yoyote
Bora anapumua

Zamani wakati katoto katoto nilijuaga ni wadada tu ndio yanatukuta haya kumbe hata nyie buana poleni sana.Baba Mchungaji dah! Umenichekesha sana! Ina maana mpaka sasa yumo kwenye ndoa yake huko?
Kuna kamoja mimi nilifikia kuwa nasali kabisa ili mume wake afe. Kuja kugundua kumbe wala hakana mume. Kidogo nikawashe makofi yaani
Yeah! Watu wa aina hiyo wapo...na kuwasahau ni mpaka siku ya mwisho tu. Maisha na mafumbo yake!
Pole. Ilikuaje sasa hamkufunga ndoa wakati mnapendana?alitangulia kuolewa, na hadi sasa hivi yupo kwenye ndoa na wana mtoto mmoja
hapo kwenye kuombea mtu afe tupo pamoja kabisa.. hili hadi mtumishi wangu mmoja mzee wa watu amejariwa neema ya ndoto, alikuwaga anaona namna inavyo nila hii kitu pale alinishauri sana ila wapi..
but naamini leo ikatokea mtu wake akifa na wangu akifa haichukui mwezi tunaoana na ndoa itakuwa na furaha sanaa
Kuna watu tunawapoteza ambao haikupaswa tuwapoteza ndio kama hawa.. ukisikia ambae alikuwa kaandaliwa kwa ajiri yako ila akachukuliwa ndio hawa.. tunajikuta tuna plan B hizi ni akili zangu tu![]()
kweli kabisa lkn binadamu muhimu kutambua madhaifu yako kbla hujaingia kwenye ndoa maana kunaharusi alafu Kuna ndoa Unatuwekea vizungu vya english course
Fooongoookaaa
Sio unajizungulusha kama mwendokas

Selfika dogo
Ofa ya kinywaji diamondNinasabbu za msingi ambazo nafikir zitanifanya niishi kwa amani nijizirekebisha kabla sijakubali kukaa na mtoto wa mkwe kuhusu kuwa anapumua bado Sana kuandika iyo siredi![]()
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Leo au janaEti bora anapumua.
Halafu leo nilikuuliza swali la kienyeji hukunijibu bageshi![]()

SijaelewaOfa ya kinywaji diamond
Yawezekana kumbe
Jana...Leo au jana![]()
Kama kawaida yako uko 👌
Ujumbe murua hebu hivi vitext muwatumie na kwenye simu vyao wapate faraja kidogo muwaandalie na zawadiHappy mother's Day kwenu wakina mama shupavu na jasiri mlioweza kulea watoto wenu vyema na kwa upendo, MUNGU awabariki sanaa.
Hongereni pia wake zetu mlio tulelea watoto wetu na mnaendelea kuwalea kwa upendo na malezi bora, mbarikiwe mpaka mshangae.
Tunawapenda sanaaaa.
Hii siku yenu ikawe njema na mkaifurahie View attachment 2216194
Pongezi nyingi kwa bi mkubwa👏Selfie na bi mkubwa(best friend)yaani very charming anamisimamo yake mwenyew sema ananikubali kinoma nilipata bahati ya kuwa kafirstborn ka dhahabu
Ukanipa na rohonyeupe
Happy mother's day to all na mm nitasherehekea mwaka ujao inshallah
@mahondow na wote mnaoitwa mama ni sikuyenu leo mfurahiView attachment 2216208
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app