Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kabisa yaani
Siyo huyu Mungu,labda shetani
Sometimes you gotta do what you gotta do!

Halafu sasa cha kuchekesha kimtu chenyewe kilikuja kunishinda. Yaani ni kitata hatari full uanaharakati, ugomvi na matusi 24/7. Nikaanza tena kuomba ili Mungu Anisamehe kwa sala zangu za kitoto/kijinga za hapo awali
 
Sometimes you gotta do what you gotta do!

Halafu sasa cha kuchekesha kimtu chenyewe kilikuja kunishinda. Yaani ni kitata hatari full uanaharakati 24/7. Nikaanza tena kuomba ili Mungu Anisamehe kwa sala zangu za kitoto/kijinga za hapo awali
Mapenzi ni upofu
Unakuta mtata huyohuyo mtu umempenda umekufa umeoza.
 
Dah! Maisha ni fumbo , alifurahi sana kukuona.. 😓
Kwa kweli baada ya ile miaka kupita nilijua nime move on, lakini siku hio tunaonana kila kitu kilibadilika nilijihisi sija move on, nilikuwa maeneo flani ambapo wote tulikuwa tunafika hapo miaka hio.
Huwezi amini hata kuonana hatukupanga, nilishangaa kusikia jina langu nyuma yangu, kumbe ni ex wangu, tulikumbatiana pale, baada ya chatting aliinivuta tukanunue kinywaji, kwa jinsi nilivyomuona nahisi ningeweza kumkokota sehemu yeyote ningetaka, alikuwa bado ana mvuto mno machoni mwangu.

Sema nilimwambia kiutani utani lakini ilikuwa message kuhusu maumivu aliyonisababishia akawa anacheka tu.

Halafu si unajua watu wa nje tena zile kauli "am happily married with two kids... blah ..blah... blah" yaani inakuwa inakuchoma basi tu yaani.

Baada ya chatting na story nyingi, nilimbusu mikononi nikamwambia nakwenda, tuliagana nikageuka nikaelekea kwenye usafiri wangu huyooo nikapepea, sifahamu kama nilifanya maamuzi sahihi lakini nahisi nilifanya maamuzi sahihi, ni mke wa mtu sasa. 🙂

Si unajua tena na mimi nilimuonesha nime move on 🙂.
we mapenzi yaache tu.
 
Ni jina la Yesu
Yesu jina jina jina lenye nguvu

Viwete watembea viziwi wasikia
Ni jina la ajabu
Yesu jina jina jina lenye nguvu

Yesu ulisema
Tutalalo lote
Tuombe kwa jina lako
Yesu jina jina jina lenye nguvu
 
Kwa kweli baada ya ile miaka kupita nilijua nime move on, lakini siku hio tunaonana kila kitu kilibadilika nilijihisi sija move on, nilikuwa maeneo flani ambapo wote tulikuwa tunafika hapo miaka hio.
Huwezi amini hata kuonana hatukupanga, nilishangaa kusikia jina langu nyuma yangu, kumbe ni ex wangu, tulikumbatiana pale, baada ya chatting aliinivuta tukanunue kinywaji, kwa jinsi nilivyomuona nahisi ningeweza kumkokota sehemu yeyote ningetaka, alikuwa bado ana mvuto mno machoni mwangu.

Sema nilimwambia kiutani utani lakini ilikuwa message kuhusu maumivu aliyonisababishia akawa anacheka tu.

Halafu si unajua watu wa nje tena zile kauli "am happily married with two kids... blah ..blah... blah" yaani inakuwa inakuchoma basi tu yaani.

Baada ya chatting na story nyingi, nilimbusu mikononi nikamwambia nakwenda, tuliagana nikageuka nikaelekea kwenye usafiri wangu huyooo nikapepea, sifahamu kama nilifanya maamuzi sahihi lakini nahisi nilifanya maamuzi sahihi, ni mke wa mtu sasa. 🙂

Si unajua tena na mimi nilimuonesha nime move on 🙂.
we mapenzi yaache tu.

Ulifanya maamuzi sahihi...

Na huo ndiyo uanaume sasa...

Kulala na mke wa mtu huwa naona kama udhaifu fulani hivi na dhambi kubwa tu isiyo na sababu...

Hongera kwako!
 
Back
Top Bottom