Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yeah! Inaonekana bado ana maumivu. Nadhani karibu sote tuna mtu wa aina hiyo. Mtu ambaye japo mambo hayakwenda kama yalivyotakiwa kwa sababu mbalimbali zikiwemo utoto na kutoyajua maisha sawasawa lakini bado tunaamini kuwa pengine wao ndiyo walikuwa watu sahihi kwetu. Ila ndo hivyo tena hakuna la kufanya!
Mkuu upo sahihi kabisa she was my first serious girlfriend, na kale ka umri kale ka ujuaji pasipo manufaa 🙂 , yaani unavyokua ndio unazidi kujua ulikuwa hujui.
 
Yeah! Inaonekana bado ana maumivu. Nadhani karibu sote tuna mtu wa aina hiyo. Mtu ambaye japo mambo hayakwenda kama yalivyotakiwa kwa sababu mbalimbali zikiwemo utoto na kutoyajua maisha sawasawa lakini bado tunaamini kuwa pengine wao ndiyo walikuwa watu sahihi kwetu. Ila ndo hivyo tena hakuna la kufanya!
😁😁 Kuna mmoja ilifikia kipindi nikawa nasema itokee hata mmewake afe turudiane.. amekuwa kwangu kama mama tu bado ananipenda sana na bado nina muheshimu sana huwa tukiwasiliana au kuonana unamuaona kabisa mtu kama umekamilisha furaha yake .... nikiwa loose nampelekea lunch ofisini kwake .. au basi tu
 
Kuna mmoja ilifikia kipindi nikawa nasema itokee hata mmewake afe turudiane.. amekuwa kwangu kama mama tu bado ananipenda sana na bado nina muheshimu sana huwa tukiwasiliana au kuonana unamuaona kabisa mtu kama umekamilisha furaha yake .... nikiwa loose nampelekea lunch ofisini kwake .. au basi tu
Baba Mchungaji dah! Umenichekesha sana! Ina maana mpaka sasa yumo kwenye ndoa yake huko?

Kuna kamoja mimi nilifikia kuwa nasali kabisa ili mume wake afe. Kuja kugundua kumbe wala hakana mume. Kidogo nikawashe makofi yaani

Yeah! Watu wa aina hiyo wapo...na kuwasahau ni mpaka siku ya mwisho tu. Maisha na mafumbo yake!
 
Baba Mchungaji dah! Umenichekesha sana! Ina maana mpaka sasa yumo kwenye ndoa yake huko?

Kuna kamoja mimi nilifikia kuwa nasali kabisa ili mume wake afe. Kuja kugundua kumbe wala hakana mume. Kidogo nikawashe makofi yaani

Yeah! Watu wa aina hiyo wapo...na kuwasahau ni mpaka siku ya mwisho tu. Maisha na mafumbo yake!
😁😁 alitangulia kuolewa, na hadi sasa hivi yupo kwenye ndoa na wana mtoto mmoja

hapo kwenye kuombea mtu afe tupo pamoja kabisa.. hili hadi mtumishi wangu mmoja mzee wa watu amejariwa neema ya ndoto, alikuwaga anaona namna inavyo nila hii kitu pale alinishauri sana ila wapi..

but naamini leo ikatokea mtu wake akifa na wangu akifa haichukui mwezi tunaoana na ndoa itakuwa na furaha sanaa

Kuna watu tunawapoteza ambao haikupaswa tuwapoteza ndio kama hawa.. ukisikia ambae alikuwa kaandaliwa kwa ajiri yako ila akachukuliwa ndio hawa.. tunajikuta tuna plan B hizi ni akili zangu tu 😁😁
 
Baba Mchungaji dah! Umenichekesha sana! Ina maana mpaka sasa yumo kwenye ndoa yake huko?

Kuna kamoja mimi nilifikia kuwa nasali kabisa ili mume wake afe. Kuja kugundua kumbe wala hakana mume. Kidogo nikawashe makofi yaani

Yeah! Watu wa aina hiyo wapo...na kuwasahau ni mpaka siku ya mwisho tu. Maisha na mafumbo yake!
Ukisikia uchawi ndio huu sasa🏃🏾‍♀️
 
alitangulia kuolewa, na hadi sasa hivi yupo kwenye ndoa na wana mtoto mmoja

hapo kwenye kuombea mtu afe tupo pamoja kabisa.. hili hadi mtumishi wangu mmoja mzee wa watu amejariwa neema ya ndoto, alikuwaga anaona namna inavyo nila hii kitu pale alinishauri sana ila wapi..

but naamini leo ikatokea mtu wake akifa na wangu akifa haichukui mwezi tunaoana na ndoa itakuwa na furaha sanaa

Kuna watu tunawapoteza ambao haikupaswa tuwapoteza ndio kama hawa.. ukisikia ambae alikuwa kaandaliwa kwa ajiri yako ila akachukuliwa ndio hawa.. tunajikuta tuna plan B hizi ni akili zangu tu
Uko sahihi Baba Mchungaji.

Nitakuja PM tuongee zaidi
 
Back
Top Bottom