

alitangulia kuolewa, na hadi sasa hivi yupo kwenye ndoa na wana mtoto mmoja
hapo kwenye kuombea mtu afe tupo pamoja kabisa.. hili hadi mtumishi wangu mmoja mzee wa watu amejariwa neema ya ndoto, alikuwaga anaona namna inavyo nila hii kitu pale alinishauri sana ila wapi..
but naamini leo ikatokea mtu wake akifa na wangu akifa haichukui mwezi tunaoana na ndoa itakuwa na furaha sanaa
Kuna watu tunawapoteza ambao haikupaswa tuwapoteza ndio kama hawa.. ukisikia ambae alikuwa kaandaliwa kwa ajiri yako ila akachukuliwa ndio hawa.. tunajikuta tuna plan B hizi ni akili zangu tu
