Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,483
EehNikule mara ngapi?

Ahsante Aunt❤❤❤
Tutakuwa tunapishana na mleta UziAhsante Aunt
Uko vizuri
Ila ungeondoa hiyo emoj mambo yangekua poa sanaaa
alisema kipande kipnde Mimi nilikuwa nadhani huko upande wenu kidogo bado kuna unafuu kidogo. Huku kwetu kwa Wagalatia mambo ni moto kila unakoenda unakutana na mafundisho ya ajabu ajabu juu ya ndoa na unyumba kutoka kwa hawa manabii na mitume waliojaa kila mtaa. Kwenu huko nadhani bado mwanamke anafundwa kubakia mwanamke na kuyajua majukumu yake sawasawa pamoja na yale ya mumewe.Binafs kwa huku nakoishi wapo lkn nisiseme uongo sijawahi chunguza sabbu ni ipi huenda wanawake wakawa ni sabbu
Lkn pia haimfanyi umpige had azimie kunanamna nyingi za kurekebishana..
Mapenz yamekuwa hayana mvuto na kikubwa heshima hakuna kwa pande zote hakuna heshima kwa mwanaume kwa mwanamkewake na mwanamke Hana heshima kwa mwanaume wake
Hakunatena kukosoana kwa adabu hakuna usiri hakuna kusikilizana Wala kubembelezana
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Toa emoj japo sekunde moja tu unafuta AuntTutakuwa tunapishana na mleta Uzialisema kipande kipnde
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Yaani imenipita nipo hapa hapa dah!Tutakuwa tunapishana na mleta Uzialisema kipande kipnde
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Awee njoo mtaani kwetu utanionaToa emoj japo sekunde moja tu unafuta Aunt
Mtoto jicho jichoo![]()

Mnajuana tayariMuache tu huyo mtoto
Tunajuana



Nipe code nitue chap
Mayoba - aina mojawapo ya maboga
Na Adam akamjua mkewe naye akachukua mimba...Mnajuana tayari
Dunia kwishnee
Nilidhani mnafahamiana![]()



Unafuu unategemea na akili ya mwanamke anaolewa kwasabbu ipi anajua majukumu ya kuwa mke ni yapi malezi pia alolelewaMimi nilikuwa nadhani huko upande wenu kidogo bado kuna unafuu kidogo. Huku kwetu kwa Wagalatia mambo ni moto kila unakoenda unakutana na mafundisho ya ajabu ajabu juu ya ndoa na unyumba kutoka kwa hawa manabii na mitume waliojaa kila mtaa. Kwenu huko nadhani bado mwanamke anafundwa kubakia mwanamke na kuyajua majukumu yake sawasawa pamoja na yale ya mumewe.
Kumbe mchicha pori ndo mogaMayoba - aina mojawapo ya maboga
Moga - mchicha pori (mboga)
Migagani - aina mojawapo ya mchicha pori (mboga yake ni chungu kidogo)


Yupo sana humuMulangira mukulu @9.8ms squared aka Kijana wa Hovyo kapotelea wapi siku hizi? Au kabadili ID?

Na mwanaume ajue kusimama kma mwanaume kumpenda na kumheshimu mkewe,mipaka ya kuongea na kukosoa kwa kuzingatia heshima ya mwenzioMimi nilikuwa nadhani huko upande wenu kidogo bado kuna unafuu kidogo. Huku kwetu kwa Wagalatia mambo ni moto kila unakoenda unakutana na mafundisho ya ajabu ajabu juu ya ndoa na unyumba kutoka kwa hawa manabii na mitume waliojaa kila mtaa. Kwenu huko nadhani bado mwanamke anafundwa kubakia mwanamke na kuyajua majukumu yake sawasawa pamoja na yale ya mumewe.
Yeah!Yupo sana humu![]()



Nipe code nitue chap

kaa hapohapo code inakujaUnatuwekea vizungu vya english courseNipo nakusoma mkuu,and I feel you
You're a man![]()

Mimi kwasasa bado kidogo hapa utachelewesha wanao kuanza shuleNiko tayari kusilimu.
Toa maelekezo tu![]()
