Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Nimewaza nikasema ni ndugu yake Strawbella au?😂😂@Strawbella mama kuna vitu vizuri huku
Rafiki Ahsante.
Nimewaza nikasema ni ndugu yake Strawbella au?😂😂@Strawbella mama kuna vitu vizuri huku
Rafiki Ahsante.
Siyo kwa kunikana ulikonikana hapa hadharani hivi wakati niliamini wewe ndiye mtetezi wangu😁Kiboko ya nini tena nkamu?
Acha utani 😭😭😭😭😭😭😭Mbona nimeselfika dk kadhaa hapa hujaniona?
Rudia Ile ya live kwanza; ukiweka nawekaSiyo kwa kunikana ulikonikana hapa hadharani hivi wakati niliamini wewe ndiye mtetezi wangu😁
Selfika tafadhali
Amkeni mkatafute hela za watu za rejesho/ kibati/ vikoba/ kodi nk





nimecheka mnooo.Afadhali umekuja shouzynimecheka mnooo.
Mama ni hatari

tuna wazungu humu kumbeAcha uongo wee shouzzzz, lolNamie Leo nitajitahidi nipige mpya nione japo Kamera inazingua kweli kweli yani!



Tumia web achana na app haina issueKwa mnaotumia App ya Jf hivi na nyie mnapata shida ya notification kama mimi? Notifications kibao zinanipita.
Kina Van Vicker wa bongo sasaMama ni hatarituna wazungu humu kumbe
Hebu muambie arudie mie sijaona, akuuuh staki kupitwa mie lol,





Baadae hiyo kwioooo, hebu weka selfie hapa.Niende shamba nikasaidie vijana Wangu sasa badae wakuu!!![]()
Mama malezi mic u moaaah, hebu weka vidole bas.Mimi mwenyewe sijawahi kukuona nkamu![]()





Niwekee kiduku chako basiMama malezi mic u moaaah, hebu weka vidole bas.![]()
Hiyo ya live sijaionaMalizia "Live bila chenga"![]()