Jicho la kingoni😘
Jicho la kingoni😘
Ooh thank you rafikiMtoto mwenye lips zake![]()
Weka tena bhana.Poleee
Hivi tulikua wap..haki tena najuta nmeweka simu pemben kidogo tu kurudi manyoya.Hata sijaona yaan khaaah![]()
Mshawishi Heaven Sent aweke kwanzaWeka tena bhana.
App ndio mambo yake haya
poleThank you dearHappy Sabbath
Pooleeee....Hivi tulikua wap..haki tena najuta nmeweka simu pemben kidogo tu kurudi manyoya.
Hivi tulikua wap..haki tena najuta nmeweka simu pemben kidogo tu kurudi manyoya.




mwenzako yaan app angu inazingua leo, khaaahMic u moaaahThank you dear
![]()
Itabidi nifanye hivyo sina namna japo kwa browser ni mbaya yaani kufungua fungua pages huwa inaniudhi.Ooh yeah wapenda app tunashida
Fanya uweke on notification kwa browser hiyo inasaidia
Nataka wee, huyo ataweka tyuuh.Mshawishi Heaven Sent aweke kwanza
Imebidi nitulie tuPooleeee....
Pole sanaaa dada.....
Pooleeee.....
Dunia ndivyo ilivyoo.....![]()
nitakuotea wakati mwingine.Ukiselfika tu hiyo kitu inakaa sawa😜Itabidi nifanye hivyo sina namna japo kwa browser ni mbaya yaani kufungua fungua pages huwa inaniudhi.