Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
Nimeisoma pia, nimeelewa machache nimebaki kutoa macho tu![]()
Inatakiwa usome kwa utaratibu sana..
Maana kuelewa ni ngumu...
Kuna muda unaona kama akili inaruka hivi


Nimeisoma pia, nimeelewa machache nimebaki kutoa macho tu![]()


Ipi hiyo babuuh, du a feva bhana.Njoo kona ya palepale fastaa
Inatakiwa usome kwa utaratibu sana..
Maana kuelewa ni ngumu...
Kuna muda unaona kama akili inaruka hivi![]()






Hata mimi sikukumbukwa. Tusisingiziane!Nini bana na wewe! Mwaliko wa EID hukunipa, umemkumbuka babu yako tu!![]()
RafikiHata mimi sikukumbukwa. Tusisingiziane!
Bado umekwama Nansio unachezeshwa madogori ama?


Eid Mubarak babu kipenziHata mimi sikukumbukwa. Tusisingiziane!
Bado umekwama Nansio unachezeshwa madogori ama?

na wewe pia ukitaka kwenda lille wiki ijayo niambie nikusapotiSharing is caring
Jamani kama una ndugu UNAYEMUAMINI mhitaji wa kazi za viwandani anicheki ASAP kuna nafasi moja..leo leo
wiki ijayo naenda france kuhangaika kidogo. na wewe ukitaka twendeSijakupata vema
Baada ya pilau leo ndo unanikumbuka? Wajukuu wa siku hizi hovyooo!
Pilau limeisha ndo tunakumbukana sasa dah!Rafiki![]()
Mbele kabisa akae aliyegundua ugali halafu afuatie wa makande...na wengine ndo wafuatie



kwani bia tamu sasa mbona kunazingine mkinywa mnakunja sura Tena ugali dagaa maana ametusave aiseeMbele kabisa akae aliyegundua ugali halafu afuatie wa makande...na wengine ndo wafuatie![]()

Ukimaliza uje nikutolee code sis angu, hii nchi inachezewa hivi khaaah.
Patamu ni hapa mzee na unknown VS mr Born town, hii nchi itatikisika wallah.
Mweeeeeeh, yaan nimelia mtu anazikwa kwa ACID,![]()
hahahahaha,umiza kichwa.code ndogo sana hzBado sijamnyaka Tanzanite shos Wigelekelo mtu chake nifungulieni hii code pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
nifumbue macho kwahii code mjeda!hahahahaha