financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,139
- 43,362
👋
Umependeza.
Sasa unacheka nini msukule weweau sio![]()
Thank youuUmependeza.
Kheeeeh siku ya send off sis?



Umbea haujaniacha salamaTenaa zote 3, uwiiiiiih
Jaman yule kaka kumbe kayeyushwa kwa Surlphulic acid.
Maskini wee,![]()
Hahaa wala ni harusi ya watu nilikua matron wa watoto😂 harusi yangu lazima nikualikeKheeeeh siku ya send off sis?
Noga sana.![]()
Subiri uone tunavyowachapa hao mlioshindwa kuwafunga akina Benzema.Wee hilo kombe ushachukua kwan? Unaweza kosa hilo kombe na huku EPL ukakosa pia.
Tukutane baadae, tupeane mrejesho.
Ukimaliza uje nikutolee code sis angu, hii nchi inachezewa hivi khaaah.Umbea haujaniacha salama
Asanteni wewe na boss ledi..nimeenda kusoma nipo mdogo mdogo,sema kichwa cheupee naona tu informer sijui mwenyechair..ntaelewa mbele ya safari hopefully.






Ooooh well.
Ngoja nihangaike kwanza na hapahapa kwenye infoma😂 na mwenyecheaUkimaliza uje nikutolee code sis angu, hii nchi inachezewa hivi khaaah.
Patamu ni hapa mzee na unknown VS mr Born town, hii nchi itatikisika wallah.
Mweeeeeeh, yaan nimelia mtu anazikwa kwa ACID,![]()
Naomba Mualiko
Mie yangu macho tyuuh.Subiri uone tunavyowachapa hao mlioshindwa kuwafunga akina Benzema.
Na PL tunakuja kuwanyang'anya..
Sisi ndio liver bwana![]()






Ngoja nihangaike kwanza na hapahapa kwenye infomana mwenyechea





mambo yako huko chini.