Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hata hakukua na pilau kwetu nikajua utanialika na wewe ukanilia buyu.

Niko poa sana, sijui wewe na uchoyo wako
Nilikosa mafuta ikabidi nitumie haya kukaangizia. Hata kama ningekualika sidhani kama ingekuwa haki!

IMG-20220504-WA0029.jpg



I am good!
 
Sisi hatukua na lengo la kushiriki tyuuh, tulikua na lengo la kunyanyua kwapa, bahati haijawa yetu bas tumeishia semi final,
Tunakuwa buzzy na EPL, huku tukijipanga na UEFA ijayo.

Sisi ndio tulikua tunatazamwa km wabebaji wa ndoo hii msimu huu, hata hawa waliotutoa hawaamini, na wanaoenda final wote wanatuzungumzia sie,

Sisi tunawatakia final njema, na mkaupige mwingi. Enjooooooooyyyy!!!!
Sisi tulitaka mpite nyie ili tuwatandike kihalali.
Sasa eti tunacheza na Madrid,ni sawa na Simba kugombana na mbwa ...
Hakuna mechi hapo,asubuhi na mapema tunaibuka kidedea.
 
Back
Top Bottom