Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,215
usiwaze shangazi! I hope uko poa shangazi!!Ukimjua nistue![]()
usiwaze shangazi! I hope uko poa shangazi!!Ukimjua nistue![]()
umependeza sana na wanao.
hilux double kibini
Thanks mkuu they're my everything! Hawa ndio wananifanya nitembee kifua mbele 😜!umependeza sana na wanao.
Hahahaaaa...hilux double kibini
nafahamu mapenzi ya mama kwa wanawe.Thanks mkuu they're my everything! Hawa ndio wananifanya nitembee kifua mbele😜!
Yeah Mungu aliweka nguvu yakipekee kubwa sana kati ya mama na mtoto!!!nafahamu mapenzi ya mama kwa wanawe.
Umependeza madam na wanao



Mwalimu adimu Sana sikukuu nilitaka nipige vitu ukawa huonekani kunipa maelekezonafahamu mapenzi ya mama kwa wanawe.

Amen mdogo wangu 🙏!Umependeza madam na wanao
Mwenyez Mungu akutunzie
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Unawahi sana kufuta 🙂Hahahaaaa...
Hahahaaaa.... ilikua ya anko zako kaa hapohapo usitoke nikutumie ya majuzi !!Unawahi sana kufuta 🙂
Sawa, sitoki hapaHahahaaaa.... ilikua ya anko zako kaa hapohapo usitoke nikutumie ya majuzi !!
Poa usipepese hata macho dakika sifuri 😜!Sawa, sitoki hapa
Kumbe ulitokelezea hivyo 😋😋Mtoko wa juziView attachment 2212891
kidogo tu mkuu,nn kamera Ndugu kamera imeharibika sikuhizi 😜😜😂🤣! Haya bariki jioni yangu basi ushatoka majukumuni!Kumbe ulitokelezea hivyo 😋😋
Bado mkuu 😊kidogo tu mkuu,nn kamera Ndugu kamera imeharibika sikuhizi 😜😜😂🤣! Haya bariki jioni yangu basi ushatoka majukumuni!
Bado nini mkuu umeanza ubabaishaji lini lakini!!??🤔🤔Bado mkuu 😊