Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Yaani nikiwafikiria panya road nazidi kufunga mlango aisee, hivi out ya mchana vipi si ni nzuri tu mkuu kesho eid 2![]()



Yaani nikiwafikiria panya road nazidi kufunga mlango aisee, hivi out ya mchana vipi si ni nzuri tu mkuu kesho eid 2![]()



Yaani acha tu nilikuwa na wageni Leo nikawa busy tu jmn nipo sanaukala Eid kimya kimya sofi!!




yuko mwanza now.Mpishi nan? Hajui kupika, mpeleke Domestic school.





Tayariii.Anza basi
YeaaaaahOg og great hit of all time.. Inakonga nyoyo
HakikaBinti sayuni,![]()
Sawa endelea kulaNakula sikukuu
Nataka nikuparue

Mbavu zangu mie, hivi huogopi kupigwa wee?Wakati kijana alikuwa ananijibu kwamba oh sister wengine Wana ndoa zao Kwahiyo usitupangie maisha,
Nikamwambia wenye ndoa wapo zao wamepanga mjini..hutawakuta wanahangaika na exile za vitanda vya miatano vya hostel Kwahiyo lazima nikupangie.





