Inakera sana hiyo tabia .Yaani sijui hata huwa wanawaza nini watu
Sisi ilikuwa hairuhusiwi kupanga labda uwe na sababu zenye mashiko mfano umeolewa au mjamzito.
Nipe location nije kukusaidiaNilitingwa mchumba.
Kufua ,usafi basi nimejikuta muda wote simalizi.
😂😂😂😂Nipe location nije kukusaidia
Location ya mtoa jina,nikampe soda[emoji41]Na ananiita hivyo tyuuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125]Mambo ya leo haya, [emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2209753
Binti Sayuni uko poa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125]
Sikupingi
Hilo tundu[emoji39] mjukuu usituzugeHaya mwenzenu cake hiyo nimeitoa, full maujuzi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2209750
Chaaa[emoji849]Nilitingwa mchumba.
Kufua ,usafi basi nimejikuta muda wote simalizi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nasubiri mwaliko[emoji4]View attachment 2209693
Meza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka nitapike shahawa au?
NilishatokaChaaa[emoji849]
Hujapata mwaliko
Ee nkamu gwangu[emoji1787]
Hiyo bei ya vyumbaNilikachambaa katoto kadogo kanataka kusumbua wakubwa zake
Nikawaambia hivi nyie mnadhani nyie ndo wa kwanza kujua mapenzi dunia nzima??
Wazazi wenu wanajua watoto wapo shule kumbe mnafanya ujinga tu!
Kama hamuwezi kutoka wenyewe Kwa amani basi ngoja nimwite Suma awatoe[emoji38].
Kuna hadi nyumba vya elfu 15 huko mjini ila wameng'ang'ana tu kukera watu hostel...aisee sipendagi ujinga.
Kila jambo linatokea Kwa sababu...huenda Mungu alikuwa ananiandaa kuvumilia kero hapa duniani.