Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Eeh wow .. una kiduku kumbe
Kuna raha yake kubadili muonekano kwa muda
Sanaaaa tangu shule yaan afro flan ya wizi, ila advance nimesumbua mie, yaan duku langu fresh,
Kuna huyo maadam alikua ananifuatilia mnooo, khaaaah.

1st yr nlifuga nywele, nkasuka, aaah nkaona usumbufu, nkarudi zangu kwa kiduku, mambo bum bum.
 
Sanaaaa tangu shule yaan afro flan ya wizi, ila advance nimesumbua mie, yaan duku langu fresh,
Kuna huyo maadam alikua ananifuatilia mnooo, khaaaah.

1st yr nlifuga nywele, nkasuka, aaah nkaona usumbufu, nkarudi zangu kwa kiduku, mambo bum bum.

Kumbe umeanzia nalo muda eeh
Hakika unapendeza nalo siku uje utupostie kiduku hicho .

Mimi chuo nilichosomea tulikuwa wachache class kila siku watu wanakufuatilia umesuka nini ..baadae nikazikata .
 
Kumbe umeanzia nalo muda eeh
Hakika unapendeza nalo siku uje utupostie kiduku hicho .

Mimi chuo nilichosomea tulikuwa wachache class kila siku watu wanakufuatilia umesuka nini ..baadae nikazikata .
Shule nyingi za serikali hawaruhusu kusuka,
Daaah chuo wadada wengi, gharama kwa kusuka afu sasa yaan kila week msuko mpya, aaaah si utumwa huu.
 
Shule nyingi za serikali hawaruhusu kusuka,
Daaah chuo wadada wengi, gharama kwa kusuka afu sasa yaan kila week msuko mpya, aaaah si utumwa huu.
Ooh yeah sema siku hizi wanawaruhusu wasuke hasa hapa za mjini .

Maisha ya chuo si rahisi tena hivi vyuo vya dar hapa jamani show off ni nyingi mno mara hiki kile...
Bora hata mikoani kuna unafuuu niliona watu wanasuka minyosho na wanaenda class .
 
Ooh yeah sema siku hizi wanawaruhusu wasuke hasa hapa za mjini .

Maisha ya chuo si rahisi tena hivi vyuo vya dar hapa jamani show off ni nyingi mno mara hiki kile...
Bora hata mikoani kuna unafuuu niliona watu wanasuka minyosho na wanaenda class .
Kabisa mkoani, mtu anazama class na twende kilioni. Ila dar sasa nywele za 40k afu siku 7 kafumua. Mweeeeh
 
Wee hupaki? Mie nisipopaka napauka yaan. Huwa napaka tyuuh.
Tafuta body moisturizer itakufanya uwe na hydrated skin .. yani usipauke ovyo
Kuna hii hapa Resty anaiuza elfu 25
Screenshot_20220502-230013.jpg
 
Kabisa mkoani, mtu anazama class na twende kilioni. Ila dar sasa nywele za 40k afu siku 7 kafumua. Mweeeeh
Vyuo vya dar full stress aisee
Mikoani hata hamna mambo hayo ..tena watu mnavaa kawaida tu na life inaendelea.

Sikaagi na nywele pia ila siwezi kuchezea hela hivyo yaani mtu unakuta amesuka style ya bei halfu baada ya siku chache anafumua aisee
 
Back
Top Bottom