Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hahaha nazipenda aisee nikiona msuko nitamani halafu sina nyweleMpaka unaziota ziache tuu
Nimekata kawaida tuu kwasababu huwa navaa hijab

. maana nanyoaga zote .Ooh nice unazifunika nywele .
Hahaha nazipenda aisee nikiona msuko nitamani halafu sina nyweleMpaka unaziota ziache tuu
Nimekata kawaida tuu kwasababu huwa navaa hijab

. maana nanyoaga zote .Sanaaaa tangu shule yaan afro flan ya wizi, ila advance nimesumbua mie, yaan duku langu fresh,Eeh wow .. una kiduku kumbe
Kuna raha yake kubadili muonekano kwa muda





😂😂 inatamanisha sanaa kuna huo mtindo wa box braids naupenda sana ila kusuka ndio mtihaniHahaha nazipenda aisee nikiona msuko nitamani halafu sina nywele. maana nanyoaga zote .
Ooh nice unazifunika nywele .
Sanaaaa tangu shule yaan afro flan ya wizi, ila advance nimesumbua mie, yaan duku langu fresh,
Kuna huyo maadam alikua ananifuatilia mnooo, khaaaah.
1st yr nlifuga nywele, nkasuka, aaah nkaona usumbufu, nkarudi zangu kwa kiduku, mambo bum bum.
UnaitwaSanaaaa tangu shule yaan afro flan ya wizi, ila advance nimesumbua mie, yaan duku langu fresh,
Kuna huyo maadam alikua ananifuatilia mnooo, khaaaah.
1st yr nlifuga nywele, nkasuka, aaah nkaona usumbufu, nkarudi zangu kwa kiduku, mambo bum bum.

Shule nyingi za serikali hawaruhusu kusuka,Kumbe umeanzia nalo muda eeh
Hakika unapendeza nalo siku uje utupostie kiduku hicho .
Mimi chuo nilichosomea tulikuwa wachache class kila siku watu wanakufuatilia umesuka nini ..baadae nikazikata .
Box braids yaani vitunguu auinatamanisha sanaa kuna huo mtindo wa box braids naupenda sana ila kusuka ndio mtihani
Yes huwa nafunika kichwa
Ooh yeah sema siku hizi wanawaruhusu wasuke hasa hapa za mjini .Shule nyingi za serikali hawaruhusu kusuka,
Daaah chuo wadada wengi, gharama kwa kusuka afu sasa yaan kila week msuko mpya, aaaah si utumwa huu.
Ni aina flani hivi ya nywele zimesukwa kwa kupishanishwa kama vibox lakini zimesukwa kwa rastaBox braids yaani vitunguu au
Hakika utapendeza ukisuka ..
Ooh vyema sana
Ooh okay inaonekana nzuri na upate msusi anayejua kusuka vizuri .Ni aina flani hivi ya nywele zimesukwa kwa kupishanishwa kama vibox lakini zimesukwa kwa rasta
Nikipata picha yake nitaweka uone
Kabisa mkoani, mtu anazama class na twende kilioni. Ila dar sasa nywele za 40k afu siku 7 kafumua. MweeeehOoh yeah sema siku hizi wanawaruhusu wasuke hasa hapa za mjini .
Maisha ya chuo si rahisi tena hivi vyuo vya dar hapa jamani show off ni nyingi mno mara hiki kile...
Bora hata mikoani kuna unafuuu niliona watu wanasuka minyosho na wanaenda class .
Heee kabisa?Wapi hukoooo?![]()
Tafuta body moisturizer itakufanya uwe na hydrated skin .. yani usipauke ovyoWee hupaki? Mie nisipopaka napauka yaan. Huwa napaka tyuuh.
Daaah, Palmer's!Tafuta body moisturizer itakufanya uwe na hydrated skin .. yani usipauke ovyo
Kuna hii hapa Resty anaiuza elfu 25 View attachment 2209156
Vyuo vya dar full stress aiseeKabisa mkoani, mtu anazama class na twende kilioni. Ila dar sasa nywele za 40k afu siku 7 kafumua. Mweeeeh
Ooh yeahDaaah, Palmer's!
UsijaliOoh okay inaonekana nzuri na upate msusi anayejua kusuka vizuri .
Aya ukiona nionyeshe plz
Oooooh ahsante sana dea, ngoja nitaenda kwa Resty niichukue.Tafuta body moisturizer itakufanya uwe na hydrated skin .. yani usipauke ovyo
Kuna hii hapa Resty anaiuza elfu 25 View attachment 2209156