MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,451
- 69,319
Nayo hii ina kale kaharufu kazuri kama Lotion ?Ooh yeah
Ni nzuri sana
Nayo hii ina kale kaharufu kazuri kama Lotion ?Ooh yeah
Ni nzuri sana
Ooh hii nzuri sanaOooooh ahsante sana dea, ngoja nitaenda kwa Resty niichukue.
Ooohhhpppsss!!!!Usiku mwema View attachment 2209161





Lotion yake sijatumiaNayo hii ina kale kaharufu kazuri kama Lotion ?
Hahha coca weweOoohhhpppsss!!!!
Naomba nione uliyosimama tyuuh. Duuuh nikawa najua ni mzee, kumbe Dogo flani tyuuh. Aaah,![]()

Vyuo vya dar full stress aisee
Mikoani hata hamna mambo hayo ..tena watu mnavaa kawaida tu na life inaendelea.
Sikaagi na nywele pia ila siwezi kuchezea hela hivyo yaani mtu unakuta amesuka style ya bei halfu baada ya siku chache anafumua aisee
Nilikaa advance hostel hapo kariakoo aisee maisha hayakuwa rahisi ..pale ilikuwa rahisi mno kuanguka kwenye makundi siyo ..
Mara watu waende kukesha Coco Beach , mitoko mingi , sisi tulikuwa tunabaki room na kusubiri warudi na vyakula tule![]()







hostel chuo sikuwahi kaa, na sikutaka kwan.
Ooohhhpppsss!!!!
Naomba nione uliyosimama tyuuh. Duuuh nikawa najua ni mzee, kumbe Dogo flani tyuuh. Aaah,![]()
Lazima nijaribu nayo.Ooh hii nzuri sana
Hakika utazidi kunga'ra
Bidhaa za Palmer's zina kiharufu fulani hivi kizuri cha Cocoa-Butter,....Lotion yake sijatumia
Ila zitakuwa zinaendana tu hapo
Walllah dea, nlidhan ni mzee au mtu mzima, kumbe dogo kabisaa, na hilo jina sasa herufi kubwa linatufokea,Hahha coca wewe![]()





Wee unacheza kat ya 25 na 26, huvuki hapo. Wee ni dogo sasa utiamkie shangazi zako humu ndani.no nko under30 aise ila sio dogo ni tu sina mwili mkubwa




Ooh hukutaka kabisa ?hostel chuo sikuwahi kaa, na sikutaka kwan.
Yaan dar wadada wanahaha na life mweeeh, show off za kijinga tyuuh.
Korofi weweWalllah dea, nlidhan ni mzee au mtu mzima, kumbe dogo kabisaa, na hilo jina sasa herufi kubwa linatufokea,![]()



Ooh vyema dearLazima nijaribu nayo.
Na wenye ngozi zenye mafuta unashauri lotion gani mrembo?Tafuta body moisturizer itakufanya uwe na hydrated skin .. yani usipauke ovyo
Kuna hii hapa Resty anaiuza elfu 25 View attachment 2209156
Korofi wewe![]()





kitu nimeshindwa kuacha ukorofi. Cocoa butter products are the best aiseeBidhaa za Palmer's zina kiharufu fulani hivi kizuri cha Cocoa-Butter,....
Zamani nimetumia Lotion zao na Mafuta zina harufu inafanana....
Hii uliyoiweka ndiyo sikuwahi kutumia....
Wee unacheza kat ya 25 na 26, huvuki hapo. Wee ni dogo sasa utiamkie shangazi zako humu ndani.![]()
Hahahaha jamaniWalllah dea, nlidhan ni mzee au mtu mzima, kumbe dogo kabisaa, na hilo jina sasa herufi kubwa linatufokea,![]()


Toka 4m 1-6 nimeishi hostel, wee chuo niligoma kabisaaa.Ooh hukutaka kabisa ?
Nimekaa hostel ya nje toka form five maana shule ilikuwa mbali
Aisee yani Mungu awasaidie tu .. ila acha waenjoy ni maisha yao.




