Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mweeh pole yake. Hapo unakuta anashindwa kumuacha, Mchungaji ataonekanaje
Alivyobeba vyombo mara ya mwisho akajiapiza kumuacha.
Imagine,mwanamke amesomba kila kitu hadi vigodoro..mumewe analala chini
Akaondoka zake.

Lahaula hatujakaa sawa mwezi huo umepita mara vyombo vinarudishwa..wanaanza kufunga ving'amyzi upya.
Kwa kweli nilishindwa kujizuia kucheka.

Yaani kaka Hana shida kabisa,ila mwanamke ni kichomi jamani uwiiii...
Ukiwaona kama hawaendani kabisaa..dada macho juu na anataka mambo makubwa ambayo Kwa sasa mumewe hana.
 
Hahha akiwa ndugu je ?
Mimi nawaambia Muda wa Mungu ukifika
Ndugu bado sijakutana na hizo mambo za kupata maswali ya kukera.

Nina dada tu ambaye kanambia dogo ukiolewa shela na gari juu yangu 🤣🤣🤣

Nina baba mkubwa ye anaulizaga mkwe wetu yuko wapi, nacheka tu yanaisha. Ananiambia usinionee aibu mimi mambo ya kitanzania sina 🤣. .. yeye huyu amespend muda mwingi nje
 
Ndugu bado sijakutana na hizo mambo za kupata maswali ya kukera.

Nina dada tu ambaye kanambia dogo ukiolewa shela na gari juu yangu

Nina baba mkubwa ye anaulizaga mkwe wetu yuko wapi, nacheka tu yanaisha. Ananiambia usinionee aibu mimi mambo ya kitanzania sina . .. yeye huyu amespend muda mwingi nje
Mimi Wala huwa siulizwi jamani
Ndugu zangu ndo kabisaa ...yaani natreatiwa kama mtoto kiasi kwamba hadi nikiwa na mahusiano napata tabu
Mawasiliano tu changamoto,,,naogopaaaaaa .
 
Back
Top Bottom