Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

yeah kwa utaratibu sahihi... Lakini changamoto ya umri pia itawatesa sana wanawake na jamii sijui kwanini huwa inawachukulia tofauti wanawake ambao umri umeenda ila hajaolewa tofauti na mwanaume ambae umri umeenda ila hajaoa... Hivi Kwanini??
1. Mfumo dume. Bado umetamalaki. Ndiyo maana mwanaume anaoa...na mwanamke anaolewa. Na bahati nzuri/mbaya kitakwimu waolewaji ni wengi kuliko waoaji...

2. Kibayolojia. Mwanaume anaweza "kuzaa" wakati wo wote hata kama ana miaka 80 kama bado mitambo yake ya nyuklia inafanya kazi. Kwa hivyo presha kwake siyo kubwa kivile. Mwanamke yeye ana kikomo cha muda japo anaweza kuzaa hata mpaka akiwa na miaka 45+ - hasa kwenye nchi za wenzetu huko ambako kuna huduma bora za afya. Inashauriwa sana kuwa mwanamke apate mtoto wa kwanza kabla hajavuka 35 kwa sababu baada ya hapo viishu vya hapa na pale kuhusu uzazi vinaanza kujichanuza. Miaka 35 kwa mwanaume ndiyo muda sahihi pia wa kutulia na kuanzisha familia lakini ndo kwanza utawakuta mabro bado wanagawa dozi mtaani. Ukimuuliza kuhusu ndoa utasikia bado najipanga kaka...na hakuna anayemshangaa.

3. Jamii yetu bado inafungamanisha heshima na mafanikio ya mwanamke na ndoa...na watoto. Naamini hali hii itabadilika kwa kadri jamii inavyopiga hatua za kimaendeleo. Mfano; Marekani sasa karibia nusu ya wanawake hawataki kuolewa na hata wanaoolewa zaidi ya nusu wanaishia kwenye talaka....na wengine hawataki watoto kabisa hata kama wakiolewa. Hawa wana vigezo vingine vya kupimia heshima na mafanikio ya mwanamke; na ndoa na kuwa na watoto siyo vigezo vyao vikuu.
 
Yaani kuolewa usiolewe wewe halafu anayehangaika mwingine.
Yaani sisi watanzania bwana
Wanasababisha watu wajisikie vibaya..yaani nakuelewa sana.

Mimi pia nina dada yangu,huwa najaribu kumuweka sawa kwamba asitafute kuridhisha watu ambao hata hawamnufaishi kwa chochote.
umenikumbusha ninarafikyang Sana toka tuko shule mm nikaendelea na shule yeye akafeli akaolewa yani ukiongea nae kilapoint "uolewe Basi na wew"

Nikawa nakuchukia nilivomaliza chuo sasa kelele zikazidi Tena yeye na mumewake ushauri nasaha wa kutosha
Miaka Mitano ya ndoa Mambo yakageuka Mara ugomvi kilasiku malalamiko Mara mtu kaachwa nikamuuliza nduguyangu unaniambiaje

Akanambia subiri kwanza kidogo usiolewe kwanza ndoa sio mchezo na hajaolewa Tena Hadi leo
 
umenikumbusha ninarafikyang Sana toka tuko shule mm nikaendelea na shule yeye akafeli akaolewa yani ukiongea nae kilapoint "uolewe Basi na wew"

Nikawa nakuchukia nilivomaliza chuo sasa kelele zikazidi Tena yeye na mumewake ushauri nasaha wa kutosha
Miaka Mitano ya ndoa Mambo yakageuka Mara ugomvi kilasiku malalamiko Mara mtu kaachwa nikamuuliza nduguyangu unaniambiaje

Akanambia subiri kwanza kidogo usiolewe kwanza ndoa sio mchezo na hajaolewa Tena Hadi leo
Yaani kila kitu kina faida na hasara.
Mtu akiwahi ndoa anakuwa na faida ya kuzaa mapema lakini wengi wao akili inakuwa bado haijakomaa kuweza kubeba ndoa.

Wanandoa wanaochelewa kuoana watapata watoto late lakini wengi wao akili zinakuwa zimeshakomaa..Kuna namna wanajitambua.
 
umenikumbusha ninarafikyang Sana toka tuko shule mm nikaendelea na shule yeye akafeli akaolewa yani ukiongea nae kilapoint "uolewe Basi na wew"

Nikawa nakuchukia nilivomaliza chuo sasa kelele zikazidi Tena yeye na mumewake ushauri nasaha wa kutosha
Miaka Mitano ya ndoa Mambo yakageuka Mara ugomvi kilasiku malalamiko Mara mtu kaachwa nikamuuliza nduguyangu unaniambiaje

Akanambia subiri kwanza kidogo usiolewe kwanza ndoa sio mchezo na hajaolewa Tena Hadi leo
Hahahaaaaa.....🤣🤣🤣🤣😂😂
😂😂😂!!
 
Hapana.

Narudia….

We’re single for not being married..
we’re not singlee sababu hatuko wenyewe… we date!!
Results of dating ndio hizo ndoa..

Mambo za sharing ni zako
Tunaiba ni wewe ndiyo umesema, mimi sipo huko.
Sasa mnadate alafu hamuolewi kwa nini wakati nyie ni warembo
 
Kungekuwa na shuhuda nyingi kama hizi; zingewasaidia sana single girls kutulia, kujitunza na kusubiri wakati wao. Kuna dada humu ni single mom; aliongea jinsi hiyo hali inavyomuumiza kwa jinsi ambavyo anaona ombwe kwenye maisha ya binti yake mdogo ambaye akiona tu Kila mwanaume anamuita "baba". Na maswali yake mengine like baba ndiyo yupo kule na wale watoto wake wazuri, mimi ni mbaya ndiyo maana hakai na sisi. What a trauma to an Innocent kid. Shuhuda kama hizi zingewanyamazisha hawa wajinga wanaolazimisha wenzao kuzaa hovyohovyo. Mtoto raha kwa kweli; ila ni raha pia kwake mtoto kama atakuja kwa utaratibuView attachment 2195134

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kwa Tanzania takwimu zetu zikoje kuhusu idadi ya wanawake kwa wanaume? Zinakaribiana au kuna mpishano mkubwa? Kuna kitu nitakuuliza nikipata hizo data kwanza.
 
Bonge moja la bifu aisee
Mange kaanza kusema lulu kachafua Hali ya hewa wahi kwa app , sasa lulu akaja kushusha povu kwenye comment aisee kumbe Mange naye alikasirika akaanza kufukua makaburi aisee na kuanza kumsema mama yake lulu dah . .

Kaweka picha za lulu enzi yuko na vibukta aisee huku anamchamba baadae. Insta wakafta post anayomchamba ndo amehamia kwenye app huko msuto unaendelea

Nampenda lulu kwa hili Mange amekosea sana yeye amegeuka kuwa bully kwa wasanii kila siku yupo na umbeya usio na faida ..

Napenda ubuyu ila Hadi nimemunfollow Mange aisee linakera
Mange limelipua bomu .
Limeachia video ya mwenzie yaani 😂😂😂😂

Umbea sipendi ila unanifikiaga tu..
Kuna group Moja la shule nipo basi huwa wanaweka kila kitu huko ..
Mimi nastukia tu gallery yangu imejaa mapichapicha.
 
Sasa Mange yeye anaumia wapi? Lulu kama alianza kudate akiwa mdogo yeye inamuhusu nini? Mbona sioni cha maana alichoandika Mange kweli roho mbaya na wivu wa kijinga kazi sana.
Umeona video aliyoweka Jana?😂😂🤣

Amemjibu..eti Lulu akiwa anatafuta Hela ya ujenzi🤣🤣🤣🤣
Yaani hawa ni washenzi sana 😂🙌
 
Kungekuwa na shuhuda nyingi kama hizi; zingewasaidia sana single girls kutulia, kujitunza na kusubiri wakati wao. Kuna dada humu ni single mom; aliongea jinsi hiyo hali inavyomuumiza kwa jinsi ambavyo anaona ombwe kwenye maisha ya binti yake mdogo ambaye akiona tu Kila mwanaume anamuita "baba". Na maswali yake mengine like baba ndiyo yupo kule na wale watoto wake wazuri, mimi ni mbaya ndiyo maana hakai na sisi. What a trauma to an Innocent kid. Shuhuda kama hizi zingewanyamazisha hawa wajinga wanaolazimisha wenzao kuzaa hovyohovyo. Mtoto raha kwa kweli; ila ni raha pia kwake mtoto kama atakuja kwa utaratibuView attachment 2195134

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ushauri ndio huo mlishapewa kazi kwenu....sii mlikuwa mnatusema sie wanaume wa jf hatuna hela kumbe hamjui sie ndio wanaume bora kimbilie hao wa mihela wasasambue mbususu zenu.
 
Back
Top Bottom