Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaan wewe hukunielewa, mpenzi anapatikana popote tu lkn muda wa kuingia love connect huo ndio sina zingatia hili. Nilishadate mtu humu tena nilimpata hapa hapa Selfika lkn tulianza kwa namna nyingine kabisa kabla hatujafikia kudate. Sijasema hamna wanaume wa kudate humu wapo sana ila ni uchaguzi tu nje ama ndani.
Eeh kumbe jf mnadate kabisa🤣🤣🤣🤣 usiniambie....sasa ikawaje au ndio alikula mbususu na kusepa🤣🤣🤣🤣
 
Hapana sijaoa. Sijaonkwa sababu za ujinga wangu mwenyewe. Kuna mwanamke alikuwa very special kabisa na alinioenda ila tabia zangu za umalaya ndio zikanifanya niwe aingle eti oh am not a one woman guy...mpaka sasa 42 hii hapa sina mke.
So moral of the story is...mara nyingi ni tabia zetu wenyewe ndio zinatufanya tuwe single while waotupenda wanakuwepo walishapita maishani mwetu.
Una mpango wa kuoa ama ndo bye bye?
 
Yaan wewe hukunielewa, mpenzi anapatikana popote tu lkn muda wa kuingia love connect huo ndio sina zingatia hili. Nilishadate mtu humu tena nilimpata hapa hapa Selfika lkn tulianza kwa namna nyingine kabisa kabla hatujafikia kudate. Sijasema hamna wanaume wa kudate humu wapo sana ila ni uchaguzi tu nje ama ndani.
Yes itokee tu automatically mmeconnect na mmependana, ila sio kwenda love connect aah.

(Ila nilivyo mmbea, nimetamani nimjue huyo ex wako wa humu eti 🏃🏃)
 
Haki ya Mungu.......
Ila hao wanaume wanayatafuta wenyewe.
Mwanakulitafuta atalipata.

Moto unakuja kuwawakia huko wanaanza kutafuta huruma za jamii wakati washayakoroga wenyewe Kwa kujidai vipofu.

Kuna mpendwa wetu jirani mmoja yaani hadi huruma...anafanya mazoezi ya uchungaji .mkewe hata kumsapoti japo amsindikize anakosali au kwenye huduma hakuna..kila mtu na hamsini zake.
Mara amesomba vyombo ameondoka yaani drama kibao zilizogeuka comedy kwetu wapenzi watazamaji.
 
Ila hao wanaume wanayatafuta wenyewe.
Mwanakulitafuta atalipata.

Moto unakuja kuwawakia huko wanaanza kutafuta huruma za jamii wakati wadhayakoroga wenyewe Kwa kujidai vipofu.

Kuna mpendwa wetu jirani mmoja yaani hadi huruma...anafanya mazoezi ya uchungaji .mkewe hata kumsapoti japo amsindikize anakosali au kwenye huduma hakuna..kila mtu na hamsini zake.
Mara amesomba vyombo ameondoka yaani drama kibao zilizogeuka comedy kwetu wapenzi watazamaji.
Mweeh pole yake. Hapo unakuta anashindwa kumuacha; Mchungaji ataonekanaje kwa waumini
 
Back
Top Bottom