Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aaah hizo ni nyuzi za kawaida sana. Mahusiano yenu yalikuwa public cc kama zote; all of a sudden cc zimepotea; kweli ulitegemea watu wasijiulize maswali? Nyuzi za hivyo zisikukoseshe amani; ni gharama tu ndogo ya mahusiano ya public; with time yatapita tu
weeeeeeeehhh za kawaida sana mama mchungaji Acha Utani!!! Hiko kipindi Nilikoma !! Mtu unaanzishiwa nyuzi pipoz kama zote zinakunanga na kukuchamba juu plus bwana yupo huru anajiachia nakuutetea upande wa pili live live Huku watu wanaona wewewewewewewewe!!
Eti leo hii ......hiiiiiiiiiiiiii over my dead body!
 
Yalishapita ila nashangaa yameibukia wapi wakati hapa Kati hali ilikua shwari kabisa kila upande ulikua na furaha na amani teleeee.. ghaflaa tu yameibuka. something fishy !
Maybe cc wa saizi haiamini nafasi yake, au anapenda tu league, au anahisi labda wewe bado ni threat kwake which isn’t true.. ndo mana mashambulizi yamekurudia kwa kasi.. maybe.. nimesema tu jamani..
 
Sasa tuliachana kitambo ujue .... sijui imekuaje tena.. Sijui..
Ni maisha yako lakini kuna milango umeiacha wazi. Au bado mnatakana. Kupasha kiporo labda...

Lakini itabidi ifike mahali Boss Lady uachane na hizi drama. Hata kama siyo kwa ajili ya mumeo. Do it for the sake of your kids. Vimalaika vyako vile vyema. Mambo ya mitandaoni humu huwa hayafutiki. Watakua na kuyakuta tu....

Uko mrembo hasa mama halisi wa Kiafrika. Msomi!...Sioni sababu ya ulimwengu wote kufahamu mambo yako ya private...labda kama ni strategic na unajua unachokifanya....After all ni maisha yako na una uhuru kamili wa kuyaishi utakavyo japo....
 
weeeeeeeehhh za kawaida sana mama mchungaji Acha Utani!!! Hiko kipindi Nilikoma !! Mtu unaanzishiwa nyuzi pipoz kama zote zinakunanga na kukuchamba juu plus bwana yupo huru anajiachia nakuutetea upande wa pili live live Huku watu wanaona wewewewewewewewe!!
Eti leo hii ......hiiiiiiiiiiiiii over my dead body!
Aisee sijui nilikuwa nimeokoka kipindi hicho; mbona yalinipita? Best friend ever..
 
Tulale sasa jamani. Kesho nayo siku. Thanks Bosi Ledi kwa interview nzuri. Be blessed everyone
Screenshot_20220418-193221_Chrome.jpg
 
Ni maisha yako lakini kuna milango umeiacha wazi. Au bado mnatakana. Kupasha kiporo labda...

Lakini itabidi ifike mahali Boss Lady uachane na hizi drama. Hata kama siyo kwa ajili ya mumeo. Do it for the sake of your kids. Vimalaika vyako vile vyema. Mambo ya mitandaoni humu huwa hayafutiki. Watakua na kuyakuta tu....

Uko mrembo hasa mama halisi wa Kiafrika. Msomi!...Sioni sababu ya ulimwengu wote kufahamu mambo yako ya private...labda kama ni strategic na unajua unachokifanya....After all ni maisha yako na una uhuru kamili wa kuyaishi utakavyo japo....
Too much sense Prof....
 
Huko usiguse utanisababishia nitoe taarifa ambazo sipendi kuzitoa afu mie sipendagi vurugu wala kutoa taarifa Binafsi za watu! Nivile tu Kuna mtu Juzi nilienda kumuomba ushauri pm akanisaliti! Na vurugu ndio zikaanzia hapo!! Akhsanteni🙏🙏🙏🙏

Muwe na Usiku mwema

No further questions!
Uwe na usiku mwema pia boss lady
 
Huko usiguse utanisababishia nitoe taarifa ambazo sipendi kuzitoa afu mie sipendagi vurugu wala kutoa taarifa Binafsi za watu! Nivile tu Kuna mtu Juzi nilienda kumuomba ushauri pm akanisaliti! Na vurugu ndio zikaanzia hapo!! Akhsanteni🙏🙏🙏🙏

Muwe na Usiku mwema

No further questions!
Uwe na amani bosi ledi. Ahsante sana, uwe na usiku mwema pia.
 
Asante kwa ushauri ila japo Sinaga drama mie nipo so real!!
Ni maisha yako lakini kuna milango umeiacha wazi. Au bado mnatakana. Kupasha kiporo labda...

Lakini itabidi ifike mahali Boss Lady uachane na hizi drama. Hata kama siyo kwa ajili ya mumeo. Do it for the sake of your kids. Vimalaika vyako vile vyema. Mambo ya mitandaoni humu huwa hayafutiki. Watakua na kuyakuta tu....

Uko mrembo hasa mama halisi wa Kiafrika. Msomi!...Sioni sababu ya ulimwengu wote kufahamu mambo yako ya private...labda kama ni strategic na unajua unachokifanya....After all ni maisha yako na una uhuru kamili wa kuyaishi utakavyo japo....
 
Back
Top Bottom