Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ninachoona unajiingiza tu kwenye drama ambazo ungeweza kuziepuka tu, ukaendelea na ndoa yako kwa amani. Mlishaachana, humuhitaji; ila kutwa unaingizwa kwenye magomvi sijui unaanzishiwa threads za majungu (as you said); kwa nini wewe unaingizwa kwenye mambo yake na wakati wewe ni ex?

Kuachana sio ugomvi; ila I can imagine mume wangu awe na ex ambaye ni best friend ake forever. Aaaah thubutuuuuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app

 
PXL_20220418_230626241.jpg
 
Tufundishe watoto wetu wa kike kujitegemea na kutokua na tamaa.

yaani wanapangwa so sad, wazingatie tu afya.

Nadhani hasa ni suala la kujitambua na binti kujijua thamani pamoja na utu wake. Wapo mabinti ambao hata kama hajaweza kujitegemea huwezi kumtingisha hasa kama akijua kuwa lengo lako ni kumshushia tu thamani yake na kumdhalilisha utu wake. Mabinti kama hao, japo wanazidi kupungua kila kuchao, bado wapo na wanastahili heshima ya pekee sana...na ukimbahatisha inabidi ukomae naye sana maana kama na wewe mwanaume ukiwa na akili nzuri aisee mtafika mbali sana maishani!
Screenshot_20220418-222203_Swahili%20Bible%20Offline.jpg
 
Back
Top Bottom