Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Wanapokea ila mda wa kula na kulala 😂😂Chaaa🤲🙌🙌🙌
Mbona kazi!!wale tunaopenda kupiga simu hapa tungeimba halleluya
Wanapokea ila mda wa kula na kulala 😂😂Chaaa🤲🙌🙌🙌
Mbona kazi!!wale tunaopenda kupiga simu hapa tungeimba halleluya
Mimi binafsi naamini yalikuwa mahusiano serious kabisa....Kitu kikiletwa chit chat si cha kuchukulia serious kamba ni asilimia 80
Sema humu una shemeji yako ukae ukijua na yupo hukohuko anapofanya kazi Shem wetu na akitulia huwa anapeluzii Jf 😬hahahaaa..sio Mtu wa mitandao kiivo kweli nilitubu na kazi nikahamishwa nakupelekwa karibu na ukweni asee!
Ugali bado. Mapishi ndo yameanza tu....Ugali mbona sioni hapo Msukuma?
Nitakuja kweli ohooo! Sema kama Baba Mchungaji wako naye yuko nje ya nchi niibuke kikomandoo kama shujaa wetuMsukumaaaaa, haya njoo nikugee opener







Acha uvivu kikiiva naomba picha nyingine😬Ugali bado. Mapishi ndo yameanza tu....
"Kila mtu anywe maji ya kisima chake'Nitakuja kweli ohooo! Sema kama Baba Mchungaji wako naye yuko nje ya nchi niibuke kikomandoo kama Smart![]()
Oh kumbehahahaaa..sio Mtu wa mitandao kiivo kweli nilitubu na kazi nikahamishwa nakupelekwa karibu na ukweni asee!
Junia wetu jamaniNyie Kesho natakiwa kumpeleka Junia shule mjue anasoma boarding!!! View attachment 2192459

Mashaalah kazuriNyie Kesho natakiwa kumpeleka Junia shule mjue anasoma boarding!!! View attachment 2192459
We nae Anne ulizeni maswali mapesi mepesi😬😬Oh kumbe
Kwahiyo unachukulia advantage yeye kutokuwa mtu wa mitambo kutaka kusolve Tena ishu zako na mzee wa miongozo?
Vipi ukifanya utatubu tena?
Rejea ulichosema pale juu kwamba mna mambo yenu ugomvi sijui Nini
Hensham. Nitakuja niwapeleke shule keshoNyie Kesho natakiwa kumpeleka Junia shule mjue anasoma boarding!!! View attachment 2192459


Eti boss ledi mahondawMimi binafsi naamini yalikuwa mahusiano serious kabisa....
Sawa mpendwa japo sidhani kama nitapika ugali. Natia tu chicken wings kwenye air fryer kwa dk. 15 nakula na kabeji pembeni huku nikisukumizia na wine. Sema sasa opener ndo siioniAcha uvivu kikiiva naomba picha nyingine![]()

Si ndo kama hayoWe nae Anne ulizeni maswali mapesi mepesi![]()











Ila M ana balaa kama ni kweli kuwa mke tena kusaliti na uhusiano kuanika kwenye mtandao yataka moyo nilikuwa na swali ila sitamuuliza tenaHensham. Nitakuja niwapeleke shule kesho
Akazidi kufanyika kichwa na wala si mkia IJN
Haka katakuwa ni kagenius kama mama yake boss wetu mkemia mkuu wa kimataifa.Hensham. Nitakuja niwapeleke shule kesho
Akazidi kufanyika kichwa na wala si mkia IJN
Kabisa. Wengi tu walikuwa wanajiuliza kimoyomoyo kama sisi; leo tumepata fursaSi ndo kama hayo
Wengi tu watakuwa walitamani kumuuliza haya
Nimewasaidia![]()
AMENHaka katakuwa ni kagenius kama mama yake boss wetu mkemia mkuu wa kimataifa.
Mpendwa hata karibu ya pasaka 😬Sawa mpendwa japo sidhani kama nitapika ugali. Natia tu chicken wings kwenye air fryer kwa dk. 15 nakula na kabeji pembeni huku nikisukumizia na wine. Sema sasa opener ndo siioni![]()