Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,342
Mamii mie nlijua utani ujue kumbe kitu live khaa!!!Pitia pitia kwenye uzi utawakuta huko![]()
Mamii mie nlijua utani ujue kumbe kitu live khaa!!!Pitia pitia kwenye uzi utawakuta huko![]()
Sijaelewa hapa bosi ledi; ni kwamba picha zako zilipelekwa au ndiyo unawaza kwamba picha zilipelekwa kwa Mlebanoni?Hahahaaa.... naselfika kama wengine......
halafu watu wanazipeleka picha zangu zahumu kwa mlebanoni 🤗🤗🤗🤗 sitaki kusema mengi ila we are not lovers kitambo sana tena sanaa!!
Kwa mfano akakubahatisha mara pap huyu hapa!Hahahaaa.... naselfika kama wengine......
halafu watu wanazipeleka picha zangu zahumu kwa mlebanoni 🤗🤗🤗🤗 sitaki kusema mengi ila we are not lovers kitambo sana tena sanaa!!
Yani eti Namimi nijirudishe humohumo ???? ????!!!?? Nawashangaa sana mnaonituhumuHuyu wa sasa akiachwa sijui ataficha wapi Id yake jamaniii😬😬
Uvivu wa kuzurula unaniponza, 😄😄, nitakua makini kwa kweliKama ni mzurulaji humu JF utamjua tumie nlidhan utani kumbe ukweli bwana ndio nashangaa hapa
Na mwenzi huu mtukufu eti napiga umbea hivi mimi nipo serious na ibada😬😬😬Kwa kweli Bora umekumbuka kufanya toba😁😁😁
Hapana mimi sipo hata sina habari kama umerudi kipenziYani eti Namimi nijirudishe humohumo ???? ????!!!?? Nawashangaa sana mnaonituhumu
Umbea ni kama hewa🤣🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️Kwa umbea mimi jamanii mpaka sasa sijalala Mungu nisamehe kwa niliyoyatenda kwa siri na dhahili inshallah tukijaliwa kesho nayo ni siku🙏🏽
Wewe pata kwanza energy drink aiseeKwa kweli Bora umekumbuka kufanya toba😁😁😁
Possibly bwana shem atakuwa alipita hata kuona hilo huba lilivyokuwa limetaradadi. Hawezi kuniignoo JF completelyAu hakumtajia ID?
Ila kama alitubu ni lazima alimtajia ID.
Hii imekaaje mkurugenzi msaidizi?View attachment 2192477
Eeeh maana bado nasogoaWewe pata kwanza energy drink aisee
Kwa kweli. Wanaume ikija kwetu ni no excuse ya kuchepuka.
Ashikilie ndoa yake, na heshima yake yeye binafsi pamoja na mumewe. Kila siku unahusishwa na drama za ex mchepuko; kwako binafsi tu sio heshima
Ndiwooooo! Saivi Nipo chini ya ulinziKwa mfano akakubahatisha mara pap huyu hapa!
Kwahiyo alikusamehe?
Ulitumia mbinu gani kutubu aisee..
Naiomba na mimi aisee niitumie kwenye vijikosa vyangu vya rejareja..ninaamini itasovu haraka sana makosa madogo,maana kama hili la usaliti limeisha kwa mbili inamaana hii mbinu ya msamaha imeenda shule aisee
Yaani chini ya ulinzi kivipi boss wetu?Ndiwooooo! Saivi Nipo chini ya ulinzi
Shusha facts mama mkemia wetu makiniKabisa.... nishatulia kitambo mimi ... Halafu Sitaki kutoa details za watu zitawachafua so wacha nibebe lawama hapa japo kuna mengi yaliyojificha msiyoyajua! I wish Ningekua na namna ya kuwaprove wrong kwa facts kabisa! ila sasa naanzaje!
The truth will set you free!"Likely mume wako ni mwelewa sana hata siku moja akija kuona mauzi yako na mapicha ya humu wala hatamaindi. Ni mwanaume wa aina yake aisee!"
![]()
Boss ledi sisi hatujakutuhumu. Mimi binafsi maswali yangu yalibase kwako wewe kama wewe. Nimekuja tu kushangaa unalalamika unapigwa majungu sijui kuanzishiwa threads; ndiyo concern yangu ikaja hapo; kwa nini wewe uhusishwe na ex ilhali mmeshaachana na kila mtu ana 50 zake? Na kingine kilichotushangaza ni ya wewe kuwa naYani eti Namimi nijirudishe humohumo ???? ????!!!?? Nawashangaa sana mnaonituhumu
HakikaThe truth will set you free!
Yaani chini ya ulinzi kivipi boss wetu?
Nikajua ni Imani upendo na miujizaInaitwa kutesa kwa zamu: ukikipata kitumie, ukikikosa kijutie teh