Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nadhani hasa ni suala la kujitambua na binti kujijua thamani pamoja na utu wake. Wapo mabinti ambao hata kama hajaweza kujitegemea huwezi kumtingisha hasa kama akijua kuwa lengo lako ni kumshushia tu thamani yake na kumdhalilisha utu wake. Mabinti kama hao, japo wanazidi kupungua kila kuchao, bado wapo na wanastahili heshima ya pekee sana...na ukimbahatisha inabidi ukomae naye sana maana kama na wewe mwanaume ukiwa na akili nzuri aisee mtafika mbali sana maishani!
View attachment 2192502

Asante sana kwa Ujumbe mzuri umemaliza kila kitu
 
Back
Top Bottom