Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Na smart au nani?
Na smart au nani?







Ohooo.... Just because my hubby yuko nje ya nchi huwa anakuja mara 3 au 4 kwa mwaka so nina muda mwingi tuYeah nakumbuka umeshawahi kulisema hilo. Swali langu ni hili mkemia
How comes inaonekana like your life revolves around another man and not your husband?
Ugali mbona sioni hapo Msukuma?Kumbe hata opener hakuna dah! What am I gonna do with this cheap Chardonnay?
View attachment 2192448
Not smart!Na smart au nani?
Sema yataka moyo huwa unaenda kumtembelea au subiri mpaka arejee nyumbani TZOhooo.... Just because my hubby yuko nje ya nchi huwa anakuja mara 3 au 4 kwa mwaka so nina muda mwingi tu
Ooh so haya mahusiano mengine tulivyokuwa tunayafahamu yalikuwa ni mpango wa kando?Ohooo.... Just because my hubby yuko nje ya nchi huwa anakuja mara 3 au 4 kwa mwaka so nina muda mwingi tu
Kwahiyo yeye kuwa nje ndo sababu ya kumcheat?Ohooo.... Just because my hubby yuko nje ya nchi huwa anakuja mara 3 au 4 kwa mwaka so nina muda mwingi tu
Msukumaaaaa, haya njoo nikugee openerKumbe hata opener hakuna dah! What am I gonna do with this cheap Chardonnay?
View attachment 2192448
Wanajeshi ni wachache sana wanatumia mitandao ya kijamii wao ni kazi kaziKwahiyo yeye kuwa nje ndo sababu ya kumcheat?
Vipi akija kugundua?
Jf hayupo?
Na kama hayupo,je hakuna watu wanakujua humu??maana naona huwa unajiachia sana upande wa selfie tunaona Hadi sura🥰
Jf Hayupo na nishamsimuliaga everything kuhusu jf ....! Everything nikatubu kabisa..Kwahiyo yeye kuwa nje ndo sababu ya kumcheat?
Vipi akija kugundua?
Jf hayupo?
Na kama hayupo,je hakuna watu wanakujua humu??maana naona huwa unajiachia sana upande wa selfie tunaona Hadi sura🥰
Heee🙆Not smart!
Akakubali??Jf Hayupo na nishamsimuliaga everything kuhusu jf ....! Everything nikatubu kabisa..
Kitu kikiletwa chit chat si cha kuchukulia serious kamba ni asilimia 80Heee🙆
Kumbe!
Zile zilikuwa kamba,tunawataka Hadi kila la heri muoane mnasema Asante kumbe tulikuwa tunasubiri parachichi kwenye majani ya matikiti maji🤣
Kwahiyo huyo Mwamba alikuwa mchepuko kweli au mlikuwa mnachangamsha tu jukwaa kutukamata wambea akili?
Kumbe!Wanajeshi ni wachache sana wanatumia mitandao ya kijamii wao ni kazi kazi
Yaani😂😂😂😂😂Kitu kikiletwa chit chat si cha kuchukulia serious kamba ni asilimia 80
Huyu wa mpendwa M yuko nje analinda amani huko nina ndugu yangu hata kupokea simu ni mtihani sembuse kupeluzii JfKumbe!
Aiseee
Kama ni kweli.....Jf Hayupo na nishamsimuliaga everything kuhusu jf ....! Everything nikatubu kabisa..
Chaaa🤲🙌🙌🙌Huyu wa mpendwa M yuko nje analinda amani huko nina ndugu yangu hata kupokea simu ni mtihani sembuse kupeluzii Jf
hahahaaa..sio Mtu wa mitandao kiivo kweli nilitubu na kazi nikahamishwa nakupelekwa karibu na ukweni asee!Akakubali??
Ukamtajia na ID yako au ulipiga tu juu juu zile stori za haraka haraka kama quiz 😂