Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Mimi binafsi ya hao wengine sitaki kuyajua unless siku nyie wote muamue kutujulisha then nitalala hapa nisipitwe aisee. Kama umetusoma vizuri; our main concern was your marriage, mengine yalikuwa nyongeza tu. Ahsante sana kwa muda wako bosi lediKabisa.... nishatulia kitambo mimi ... Halafu Sitaki kutoa details za watu zitawachafua so wacha nibebe lawama hapa japo kuna mengi yaliyojificha msiyoyajua! I wish Ningekua na namna ya kuwaprove wrong kwa facts kabisa! ila sasa naanzaje!