Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,498
- 235,198
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndo maan nkamchana makavu atoe haraka sana. [emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]
Hafanani na pale kabisaaa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndo maan nkamchana makavu atoe haraka sana. [emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]
Hafanani na pale kabisaaa.
Khaaa ile hapana mchumbaWeka kwanza ndio tutarudiana
Hahahha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] wee kwan unaamini shost? Hapana bhana.
Ulimquote nani Elly?Nimebofya kuedit mzee ushaquote.[emoji23]
Nilikua na kibukta tu daah bora nimefuta[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Awwh niceNitakua karibu ukitaka kuzama nakuwahi[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nacheka hapa lol
Yes swimming poolAwwh nice
Sema baada ya hapo nitakuwa nimefika ufukweni .
Ndo maana natamani kuogelea kwenye swimming pool .
Kasama,kwansama!Zambia! Where from exactly?
Umependeza
PerfectYes swimming pool
Mashaallah mkuu
Yan nisingetonywa hii ilikuwa ishanipita
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Samahani siombi, ila nitoe tu pole kwa wewe ku over judge!!
Picha zako nazoonaga hapa macho yangu yanaonaga kama mwarabu/ mpemba.
Ya jana ikawa tofauti ndio maana nikauliza wewe ni yule au ni huyu.
Baadae nikaona utapata shida kunielewa ndio maana nikafuta [emoji1787][emoji1787]
Pole but not sorry [emoji106]
[emoji23][emoji23]yani wewe...Ulimquote nani Elly?
Ile ya ewaa uliyofuta[emoji23]
Unaniachia msala ee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah[emoji23][emoji23][emoji23]yani wewe...
Niliandika thing thing badala ya this thing...[emoji23](tafsiri ya moja kwa moja toka upareni)
Si bora hata yeye ameomba angalau[emoji1787][emoji1787][emoji1787]acha ubabe uombi samahani sio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mimi watu kama wewe ndiyo nawapenda sijui kwanini
Nkamu coca mbona alimtaja.Ndugu wewe niambie tu tusikimbiane wambea huwa wana ushirikiano sana[emoji23][emoji23]
Usiniambie [emoji2960]Nilikua na kibukta tu daah bora nimefuta