Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Ndo maan nkamchana makavu atoe haraka sana.
Hafanani na pale kabisaaa.




Ndo maan nkamchana makavu atoe haraka sana.
Hafanani na pale kabisaaa.




Khaaa ile hapana mchumbaWeka kwanza ndio tutarudiana
Hahahhawee kwan unaamini shost? Hapana bhana.
Ulimquote nani Elly?Nimebofya kuedit mzee ushaquote.![]()

Nilikua na kibukta tu daah bora nimefuta
Awwh niceNitakua karibu ukitaka kuzama nakuwahi![]()
Yes swimming poolAwwh nice
Sema baada ya hapo nitakuwa nimefika ufukweni .
Ndo maana natamani kuogelea kwenye swimming pool .
Kasama,kwansama!Zambia! Where from exactly?
Umependeza
PerfectYes swimming pool
Mashaallah mkuu
Yan nisingetonywa hii ilikuwa ishanipita
![]()
Samahani siombi, ila nitoe tu pole kwa wewe ku over judge!!
Picha zako nazoonaga hapa macho yangu yanaonaga kama mwarabu/ mpemba.
Ya jana ikawa tofauti ndio maana nikauliza wewe ni yule au ni huyu.
Baadae nikaona utapata shida kunielewa ndio maana nikafuta
Pole but not sorry![]()



Mimi watu kama wewe ndiyo nawapenda sijui kwaniniUlimquote nani Elly?
Ile ya ewaa uliyofuta![]()

yani wewe...
(tafsiri ya moja kwa moja toka milimani)



Unaniachia msala ee![]()


Dahyani wewe...
Niliandika thing thing badala ya this thing...(tafsiri ya moja kwa moja toka upareni)

Si bora hata yeye ameomba angalauacha ubabe uombi samahani sioMimi watu kama wewe ndiyo nawapenda sijui kwanini





Nkamu coca mbona alimtaja.Ndugu wewe niambie tu tusikimbiane wambea huwa wana ushirikiano sana![]()
UsiniambieNilikua na kibukta tu daah bora nimefuta

