Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Inabidi tufanye Miss Selfika. Mshindi atapata zawadi nono


Utaota weweUsiniambie
Huenda nikakurudia aisee..embu tuone![]()
Thanks mrembo, I wish siku tuonaneEnjoy![]()

Si bora hata yeye ameomba angalau
Na kusema sorry..
Mimi Sina Cha sorry Wala ndugu yake sorry![]()

Thanks mrembo, I wish siku tuonane![]()




Najali kama najua nimekosea,nimecheka sana na wala hujali, muache mtoto wa watu![]()









Ipo siku itatokea upo nilipoNapatikana sasa?? kila siku nasafiri kama dereva wa mizigo.

TuoneUtaota wewe
Daah vijana wanakwama wapi kuchukua huyu mrembo
Nipo kwangu tayari mchumbaDaah vijana wanakwama wapi kuchukua huyu mrembo



.Ebu nielekeze jinsi ya kufunga PMTuone
Upo kwako vp?umeolewa lini?Nipo kwangu tayari mchumba.
Namaliza naingia ndani kijana ameharibu Bomba..maji yamejaa nyumba nzima.
Wanawake tumeumbwa mateso matesoo kuhangaika.
Nipe kwanza picha ndo ntakuelekezaEbu nielekeze jinsi ya kufunga PM


Hadi nina mtotoUpo kwako vp?umeolewa lini?

Unapenda kuona vitu vya ajabuNipe kwanza picha ndo ntakuelekeza
Nimekasirika sasa naanza kudai![]()
Najali kama najua nimekosea,
Kama sijakosea aisee utajijua mwenyewe.![]()



