Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hebu nionyeshe kwanza ulichofutaRudi tu mchumba wangu tumemisiana![]()
Hebu nionyeshe kwanza ulichofutaRudi tu mchumba wangu tumemisiana![]()
HeeeSijui leo yupo chimbo gan, sijui bonyokwa, sinia la chakula lina kutu, meza sasa ile ya buchan ya kukatia nyama ina afadhar, mazingira hovyooooo tyuuh,
Ila sasa akiwa na mchuchu maeneo yake hayoo, selfika inatikisika woiiiiiiiiih





Mimi nimenunua tambi tangu juziMe nilikula saa 1
Wewe umepost saa ngapi hapa?![]()

Ile million unayo niweke picha?
Me mpaka kutaja aibu, maana ni zamani sanaMimi nimenunua tambi tangu juzi![]()
Nambie kama tumerudiana niweke picHebu nionyeshe kwanza ulichofuta
Tulia wewe mtoto anarudi nyumbani







tenaaaaaah, mambo maresh maresh, yaan pambeeeeeeeh.Ahaaa hakuna hapa anaeweza kumpa malavidavi kama mimitenaaaaaah, mambo maresh maresh, yaan pambeeeeeeeh.

Ndo maan nkamchana makavu atoe haraka sana.Heee
Lekchara wako ameanza lini mambo ya uswahilini![]()





YeahEwaa, thing thing aloo!!

Wacha weee mimi nipo kote koteNdo maan nkamchana makavu atoe haraka sana.
Hafanani na pale kabisaaa.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Warapen shoo jaman😂
Nikajua sahii tunajiandaa na Easter vacay samwea faaa awey
Nimebofya kuedit mzee ushaquote.Yeah![]()

Ahaaa hakuna hapa anaeweza kumpa malavidavi kama mimi![]()







watu na lavidavi zao, zaidi ya diva pale wasafi.Unakwama wapi?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mambo yanakataa kwenda kimpangilio
Dats whatsupwatu na lavidavi zao, zaidi ya diva pale wasafi.

Kote kote wapi?Wacha weee mimi nipo kote kote![]()





Nichagulie basi huyo mchuchuKote kote wapi?
Nikitaka kuamini, mchukue mchuchu mpeleke palee afu ndo useme kote kote.
