Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Depal umefuta kipi nikuulize swali una nifahamu mimi kwa nini unapata tabu na picha isiyokuhusu
Yan nisingetonywa hii ilikuwa ishanipita

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Samahani siombi, ila nitoe tu pole kwa wewe ku over judge!!
Picha zako nazoonaga hapa macho yangu yanaonaga kama mwarabu/ mpemba.
Ya jana ikawa tofauti ndio maana nikauliza wewe ni yule au ni huyu.

Baadae nikaona utapata shida kunielewa ndio maana nikafuta 🤣🤣

Pole but not sorry 👍
 
Yan nisingetonywa hii ilikuwa ishanipita



Samahani siombi, ila nitoe tu pole kwa wewe ku over judge!!
Picha zako nazoonaga hapa macho yangu yanaonaga kama mwarabu/ mpemba.
Ya jana ikawa tofauti ndio maana nikauliza wewe ni yule au ni huyu.

Baadae nikaona utapata shida kunielewa ndio maana nikafuta

Pole but not sorry
Kumbe mnaonanaga kabisa

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom