Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Usiwe na wasiwasi rafikiHapana rafiki sema nitakuabisha kwenye maji huko ..
Usiwe na wasiwasi rafikiHapana rafiki sema nitakuabisha kwenye maji huko ..
YeahMhh mnaongelea mlimani city?
Thank youUsiwe na wasiwasi rafiki
Kila mchuchu nikitaka kumuweka sawa unaanza i miss u zakoMmmmmh ,![]()



Next time utaingia na mbaba mimiYeah

Hahaha mbona unaonekana sio mbaba kihivyoNext time utaingia na mbaba mimi![]()
Ooh okay nimekumbuka siku ya kwanza kuingia mule nilingia kwa woga ... nilikuwa kafupi ikabidi niingie na mbaba mmoja hivi pale getini hata simfahamu namfuata nyuma tu.
Ila una sehemu zako za mitoko ..






Tumekubaliana hakuna kukata tamaaMaisha ndivyo yalivyo binti. Usituone hata tunaojifaragua humu. Tuna mengi tu tunayohangaika nayo. Cha muhimu ni kutokata tamaa mpaka kieleweke. Endelea kupambana binti. Nakuaminia...na ukipotea tena nitakuwa nakuulizia hapa hapa jinsi unavyoendelea.
Kila mchuchu nikitaka kumuweka sawa unaanza i miss u zako![]()







kwan huyu si alikukataa mbele yangu ile siku, umesahau eeeh?Naenjoy kukataliwa ujuekwan huyu si alikukataa mbele yangu ile siku, umesahau eeeh?

Kijana wa makamoHahaha mbona unaonekana sio mbaba kihivyo

Kiukweli Jah alininyima kabisaa mambo ya starehe. Mie nikitoka chuo n home, yaan nikitoka labda sokon au dukan kununua vitu na kurudi home.
Ndo maan niko humu JF active, ndo starehe yangu, kuzurura mitandaon. Yaan cm angu ikiwa na bundle, bas maisha nimemaliza.
Nipo hapa kuenjoy zaidichizi wee.

Anha vyemaKijana wa makamo![]()
Tena umkatalie kabisaaa,Hapana rafiki sema nitakuabisha kwenye maji huko ..






Unaona sasa unavyoniharibia...jinga sanaTena umkatalie kabisaaa,![]()

Yaan nikiwa na cm bas maisha yangu muruaaaaah.Ooh okay kumbe hupendi mitoko
Inaweza isiwe sehemu ya starehe unaweza enda sehemu for lunch au shopping hivi.
Internet imetusaidia sana .. unabaki zako tu na simu yako nyumbani .


.