Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hapana .. siweki nyingi hataHutapiki?
I have sweet tooth eeh
Hapana .. siweki nyingi hataHutapiki?
Oralmweeee
kuna sehemu nilikuta za chumvi na sukari weee nilijuta nilihisi nakunywa Oral










Nimezoea tu ...mama alikuwa anapika hivi basi nimejikuta siku hizi hata hizi za kusukuma naweka niliona sehemu wanafanya hivi piaunawezaje?
Mimi izi kama sio ramdhan naona sio tamuNilikuwaga sijawahi kusoma aisee
Umenifanya nikasome
Za kupima sijui hata huwa nazionaje..naona kama hazipo katika hali ya usafiView attachment 2185419

Sasa hio avatar si ww bossUjue tumefunga boss
Kusema uongo ni dhambi![]()
Nilikuwaga sijawahi kusoma aisee
Umenifanya nikasome
Za kupima sijui hata huwa nazionaje..naona kama hazipo katika hali ya usafiView attachment 2185419
Bora ukichanganya kidogoSukari na chumvi
Mimi nakula kubadilisha chakula.
Siyo mimi
Za maji napenda zilizochanganywa na kasukari kwa mbaliBora ukichanganya kidogo
Vitu navyopenda ivoo mm na dj chokaSiyo mimi
Mimi ni tukunyema pia nina kipilipili kifupi
Ooh hapo zinakuwa nzuriZa maji napenda zilizochanganywa na kasukari kwa mbali
Za kusukuma natumia chumvi tu.

hz kitu ukiwa ktk kale ka mchezo ka wakubwa.ndo utajua umuuhiimu wakeMie nakulaumu wewe... we mwambie uncle anamsalimia 😀😀,
Halafu hilo swali alilopata mwambie xmas zawadi inamuhusu
Mention five sensory organs
1.Skin ✔️
2.eyes ✔️
3.tongue ✔️
4.ears ✔️
5.nose ✔️
💯
👏👏👏👏
Unatupenda matukunyema??
Si ndo ulivo ww ndo navopenda ivooooMatukunyema??




Zambia! Where from exactly?Mi sio mnyaki
Iam a 'Bemba'
Ila sijaolewa huko bado,Mungu akipenda![]()






Mrangi??