mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
Au wewe uliona jishepu
Ukifunga macho waona mwanyaNimekudanganya wapi?
Haha naona unataka nijichomolee betri hadharani.best yangu Depal ameniangusha sana kuna picha alipost humu ndani kumbe kaitoa mtandaoni maana nilivyoiona sikutaka kukubali maana nilibahatika kuzoom mguu wake kwa kutumia VAR, sasa iweje ndani ya mwezi mmoja huu awe na vidole na unyayo mzuri vile kumbe kaishia kuokota picha mtandaoni...
Hata Sakayo naona ameokota picha mtandaoni kaweka pia, nimeshangaa sana, ila baada ya kuumbuliwa ikabidi aweke picha akiwa ofiisini kidogo ile ina ukweli ndani yake...
Jamani warembo nyie ni wazuri tatizo ni hilo tu hamjikubali...
Utakuwa mbayaaa kuliko neno lenyeweNtakinyoa
Kuna picha umeweka umevaa ile nguo kama gwanda za pingapinga (chadema) ungepata simu kali ungekimbiza best, wahaya kwa shape tena mimi sitii neno..
Ila kwenye lips unazo nzuri ila ungebahatika kupata lips panapana aisee ningefunga safari hadi bukoba kukutana na wewe...
Unalala na nguo tena jamaniKwa raha zangu mie... JF in bed... What a wonderful experience... View attachment 1220029
Ushapata dhambi
Kalumanzila una makusudiiii!!!



Ina maana hujaoa?
Sawa mkuu.Usijali dadaake, nimekuelewa kuna hiyo moja nimeiona umebarikiwa sana mguu...
Najua kabla ya kukula Mr, huupaka asali na kuhaikisha anailamba yote hadi kwisha halafu mambo yetu yale hufuata...
Mguu wako uko safiii...