Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,262
- 95,514
hahaha.mkuu imebidi nitazame phonebook yangu kumtafuta mtuhumiwa wa aina hykuumbwa mwanaume raha sana.. tunafaidi samaa 😀😀😀
hahaha.mkuu imebidi nitazame phonebook yangu kumtafuta mtuhumiwa wa aina hykuumbwa mwanaume raha sana.. tunafaidi samaa 😀😀😀
Macho yametua kwenye shepu la kimataifa[emoji91][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Picha zangu nyingi zilifutika juzikati... so sina ya nywele zangu og !
hapa nina hizo natarajia kufukua mwishoni mwa mwezi huu kichwa kipumue kwanza!View attachment 2180716
Ooh thank you
Sorry tong ni nini ?
Wanajua kweli huwa napenda huduma za wakaka zaidi .
Kwa kweli labla kwa ushahidi😀😀Kwa nn [emoji23]
Najisikia joto hadi usoni[emoji23][emoji23]Unatafuta style amabazo hazisumbui
Usiku unalalia kofia yako ya satin
Tuone[emoji7]Nina low cut moja hatar karibu na kipara kabisa[emoji1787][emoji1787]
Wayasifie tu aiseee
Ile harufu yake inanichefua kiasi kwamba hata mtu ninayemsuka akipaka inabidi nivae barakoa.
Curly ndio ipi hiyo??
Kwa kweli itabidi nizilainishe..hapa najishika kichwani nawaza kuchana namna zinauma[emoji23]
Kwamba nina low cut[emoji23] ndio uamini sasa nimekata fupi kabisa.Nikikaa sawa nitaweka pichaKwa kweli labla kwa ushahidi[emoji3][emoji3]
Kma yanakukera harufu tumia olive pia olive ni mepesiKwa nini hupendi ya mnyonyo ... Watu walijua kuyasifia jamani .
Weka curly najua utapendeza na ni nzuri kuliko dawa .
zinakaa hata mwaka ila mie zimenichosha...yea ni za bei!!Macho yametua kwenye shepu la kimataifa[emoji91][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Nywele za bei[emoji3059][emoji108]
Tuone kwa juu zipoje boss wetu
Aah zikue kue weee [emoji1787] utanitana weweTuone[emoji7]
Kisogo au kichogo hata mimi ninacho na komwe waogopa nini😬😂Kwamba nina low cut[emoji23] ndio uamini sasa nimekata fupi kabisa.Nikikaa sawa nitaweka picha
nilikuaga na video queen mmoja.ana mapigo hayo.dah hatari sanaahahahaha! acha kabisa
Picha zangu nyingi zilifutika juzikati... so sina ya nywele zangu og !
hapa nina hizo natarajia kufumua mwishoni mwa mwezi huu kichwa kipumue kwanza!View attachment 2180716
Pole lakin zitakua usijaliMie asa hiv nna upara yan nilipaka dawa zilikatika zote zilinikwaza nikazitoa naanza upya.
😍❤️❤️
Mimi hadi sasa sielewi nipake nini usoni[emoji19]Yani mm na wew damu damu mama Junia sema nilipata changamoto ya ngozi mwaka Jana baada ya kuja mkoani ndo nikatumia lotion elf 20 roho iliniuma mno utasema nilitoa laki
hahahaha! na mie acha nisogee meneo yanguhahaha.mkuu imebidi nitazame phonebook yangu kumtafuta mtuhumiwa wa aina hy
Unatafuta style amabazo hazisumbui
Usiku unalalia kofia yako ya satin
Uso una shida gani mremboMimi hadi sasa sielewi nipake nini usoni[emoji19]
Wengine wameenda mbali na kuniambia hormal imbalance na blah kibao.