Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Sitaki kusikia habari ya kofia wala kilemba wakati wa kulala na hili joto[emoji2][emoji2][emoji2]
Joto hili balaa
Nywele zifumuke tu [emoji23]
Ila kuna style ukisuka ikifika usiku unaona cha moto .. mda fulani hivi niliona kusuka crotchet kwa rasta nikapenda weh nikaamua nisuke aisee nilijuta kuchana siwezi mpaka watu wanisaidie kuchana after a week hivi nikazifumua .
 
Weuwee[emoji7][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Boss wetu kama boss


Hadi nywele za bei mbaya[emoji119]
Nzuuuuri

Usifumue[emoji3064]
Hapana hapa nawaza sijui nisuke nini za kukaa mie kiuno cha kusuka kila siku sinaaaaa!! Ebu nishauri nisuke nini nzuri za kukaa!
Nikifumua nakaa kama 2 weeks kisha nisuke sijui nisuke nini
 
Dark spots
Na jipu uchungu[emoji3064]

Juzi mmeniambia nitumie mafuta ya lemon..usiku wake tu kijipu kikaniota[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nipo natafuta mafuta ya lemon
😍😍kipenzi usijali endelea kutumia lemon ina kawaida ya kutoa mafuta ama utoke vichunusi vingi baadae uso unakuwa softiii
 
Back
Top Bottom