Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
Yaan acha tuKhaa wasusi hawa , sijui wanakuwaga na wivu .
Sema natural ndo shida yake hii .
Yaan acha tuKhaa wasusi hawa , sijui wanakuwaga na wivu .
Sema natural ndo shida yake hii .
Yale ya mnyonyo heri waninyonge kuliko kuyapaka.Parachute mazuri bhana .. yananukia .
Mie huwa sizangatii sana kuhusu mafuta natumia olive na mnyonyo kwa mbali .
Kuna mtu amezoom kwenye kioo aone sura,, au ni mimi tu![]()

hizo picha zote hazina suraKiasi dear sema ni vizuri kushare unachofahamu
Ni kweli zinakua hazipendezi ushauri ukiona zimeota na muda bado wa kutosha kuretouch tafuta fundi mzuri wa nywele za mkono kunastyle nying unatafuta vibanio vyako vzuri kadhaa unatoka hivo ukienda kazini unapendeza tu
Pia kunastyle nying nzuri sasa hiv za natural hair fanya hivo ukiwa unavuta muda
😁😁😁😁 Poleee.asahivi, ila siku ile uliniacha kituoni usiku mzima nakusubiri 😀😀😀
YesAffirmitive that's you
eeh nichekie ka flight chap nitokee 😀😀😁😁😁😁 Poleee.
Sasa boat ya mwisho ishawasili...nikuangalizie flight?🤓
Suka mwayaNyie
Mnanimotivate kusuka
.Usiweke dawamafundi wananisimanga dear buku zangu za kusuka lakn naonewa
Mkongo huyu anajua kuweka style balaa
Sema anakuunguza hadi unaomba poo nimemhama mie View attachment 2180710

Hayo ndo mazuri sanaHasa ya kutengeneza mwenyewe,unaweza hata kupikia..
Mm huwa natumia mafuta ya Nazi tuHaziumi ukichana ? Na unatumia mafuta gani?

ya buku mbili somtym olive oilJichanganye tu unachangia hivyohivyo kama mimi tuLeo wenye vipara tumegeuka wasomaji![]()



AiseeSio mbaya bado zipo zipo kiasiView attachment 2180708View attachment 2180709

Siku ya kuset kila nywele ni nzuriMbona nzuri

JotoSuka mwaya
Mimi toka niseme nanyoa mwaka umepita sasa bado nabembeleza nywele hapa.

Daah nimefunga mkuuUmeonaa hiii.. siku ya kwanza nimekutana nayoo kidogo nife kwa shock moyonii.. pisi imejitolesheza kupita kiasi.. hii ipo mahala
mtu chake View attachment 2180699

Mafuta ya nazi ni mazuri mno kwa nyweleAisee watu mno siriazi jamani hadi raha
Aibu napata mimi nayepaka tu nafuta ya nazi![]()