Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kiasi dear sema ni vizuri kushare unachofahamu
Ni kweli zinakua hazipendezi ushauri ukiona zimeota na muda bado wa kutosha kuretouch tafuta fundi mzuri wa nywele za mkono kunastyle nying unatafuta vibanio vyako vzuri kadhaa unatoka hivo ukienda kazini unapendeza tu

Pia kunastyle nying nzuri sasa hiv za natural hair fanya hivo ukiwa unavuta muda

Ooh ni jambo jema unafanya
Mie zangu hazijawahi kuwa hivyo ila huwa nalazimisha weh siku ziende .. halafu wengine hatujazoea vilemba ndo mtihani kabisa .

Huko nikienda kusuka kwa wasusi wanalalamika kuwa nywele imeotea hii weka dawa ...naona nibaki nazo tu nyumbani .
 
Haziumi ukichana ? Na unatumia mafuta gani?
Mm huwa natumia mafuta ya Nazi tuya buku mbili somtym olive oil

Sema mafuta mazuri kwa nywele ni ya nyonyo wanaitaga Castrol lakn mazuri ni Yale kwenye maduka ya dawa za asili hayazidi elfu tatu yanakuwa yako pure unaweza changanya na olive oil ni the best kwa wenye nywele chache pia kukatika kwa nywele

Matumizi nitawaelekeza pia
 
Back
Top Bottom