Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Huwa wana midomo haoYaan acha tu
Huku mtaani saluni zishanishinda aisee mara nyingi nahama ili kkukwepa maneno .
Huwa wana midomo haoYaan acha tu
Mimi zilipokatika nikanyoa mazimaZikikatika lazima uwe serious dear, bila hivyo ni kipara kwa kwenda mbele![]()
Mana hata majina ya dawa nmesahau nina miaka 4 nakata nyweleJichanganye tu unachangia hivyohivyo kama mimi tu![]()



Kumbe eeh?Mafuta ya nazi ni mazuri mno kwa nywele

Kwa nini hupendi ya mnyonyo ... Watu walijua kuyasifia jamani .Yale ya mnyonyo heri waninyonge kuliko kuyapaka.
BTW hata sisuki siku hizi.
Nataka niweke dawa nipatr urahisi wa kuchana maana mywele kama miti..zinavunja tu vichanio
Mana hata majina ya dawa nmesahau nina miaka 4 nakata nywele![]()




Mna style zenu na nyieLeo wenye vipara tumegeuka wasomaji![]()
Ooh thank youWacongo wanapenda kutumia tong sana,ila wanajua sana kutengeneza nywele...jicho zuri![]()
😀😀😀😀 mda wa kufuturu umefikaDaah nimefunga mkuu![]()
Wayasifie tu aiseeeKwa nini hupendi ya mnyonyo ... Watu walijua kuyasifia jamani .
Weka curly najua utapendeza na ni nzuri kuliko dawa .

Nina low cut moja hatar karibu na kipara kabisa
Tupia sasa style mpya nidese![]()


😂😂😂Napinga hiiLeo wenye vipara tumegeuka wasomaji![]()
Yani mm na wew damu damu mama Junia sema nilipata changamoto ya ngozi mwaka Jana baada ya kuja mkoani ndo nikatumia lotion elf 20 roho iliniuma mno utasema nilitoa lakiNdo hayohayo napata kuanzia kichwani hadi miguuni![]()
Unatafuta style amabazo hazisumbuiJoto![]()
Wawachukulie wake zao madesaWanaume mtusamehe tumevamia Uzi,tumewatenga
Sshv tutarudi kwenye kuselfika
Mie asa hiv nna upara yan nilipaka dawa zilikatika zote zilinikwaza nikazitoa naanza upya.Mna style zenu na nyie
Hakika mnapendeza
Hapana sijaweka mda nadhani kwa kuwa mda mwingi nakuwa na zifunikaUnaweka dawa?
Kwa nnNapinga hii
